Selfika na JF: Snap it. Show it

Ushamfilisi jamani ndiyo maana vocha hatupii[emoji2815],jamani dhambi na alivyompole si unampeleka mswebemswebe mtoto wa mama mkwe wako[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una ambiwa mjep hana sauti kila nikisema ana tii, eti huwa namzuia asi comment jf ndo maan anakuaga kmyaa.

Yaan JF uwiiiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuja mwanamkeee
Selfika tuone kigodoro
 
Inaelekea huko Pm watu wanamagroup ya kupashana mambo,

Aisee hadi nimechoka mweeeh


Eeeeh umesikia we potezea coz hawakujui na hauna shida ya kuwajua,kaa kimya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una ambiwa mjep hana sauti kila nikisema ana tii, eti huwa namzuia asi comment jf ndo maan anakuaga kmyaa.

Yaan JF uwiiiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe[emoji23]

Anapoteaga humu kumbe wanapiga pini[emoji3470]dadeq

Wacha niendelee kula kimbondi mie[emoji2440][emoji2440][emoj
 

Attachments

  • IMG_20221228_212752~2.jpg
    85 KB · Views: 6

Ila JF kuna muda kuna vituko[emoji1787][emoji1787][emoji23]

hivi maisha ya kugombania Wanaume bado yapo daah[emoji1544]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…