Selfika na JF: Snap it. Show it

Please tazama hii
Your browser is not able to display this video.
 
Nipoooo hapaaa shossss nimejaa teleee🙇🙇🙇🙇

Ruksaaaa Weeee mwanahabari na msemaji mkuu wawatu selfika champaaaaaa tani yakooo na ukipata nyongo yoyote kunihusu tu usinisubiri shusha hapaa moja kwa moja ntaikutaaa!!!!
 
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
 
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
yaani hicho ndo walichokosea aisee .. hata kama yote yanapita Bagamoyo road rangi isingekuwa red basi ...

si unajua akili ikisikia tu mwenge, mbezi tegeta nyuki basi inafata tu yenyewe .

sasa hivi nauliza abiria .. nishakosea mara tatu hivi
naenda hadi kwa ndevu then naunganisha .
 
Zinafanana mikanda kweli nirahisi kuchanganya kama unavyosema

Kwaiyo ulikuwa ukiumia nauli mara mbili; naunakuja kushtuka upo maeneo ya mlimani uko kiasi ambacho ukimuelekeza konda akuelewi apo.
Route nayopenda huku ni ya kawe .. haijazi sana .. ukiwa unashuka njianj nzuri kuipanda .
 
yeah rahisi sana
mimi huwa nasahai dukani lakini huwa wananikumbusha haha.
Mi ni ngumu Sana kusahau.

Juzi kati nadandia mwendokasi line ya foleni ya tiketi ina watu wengi

yule cashier akajidai kunipa buku buku akanichanganyia na mia tano mia tano ili nishindwe kuhesabia pale dirishani nahisi alidhani naharaka Kama abiria wengine; kumbe mpuuzi kakata 1000.

Nikasema huyu jamaa ananiletea michezo yangu ya zamani niliyokuwa nikiwafanyia abiria wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…