Rahisi sana. Tengeneza
Siyo lazima ukunje hivyo ila mm naona inapendeza.
Peleka kwa fundi cherehani atakukunjia, kama kanga tu au Vitenge vinavyokunjwa kabla ya kuvaliwa.
Msumari ukiuvalisha vinguo hivyo inasaidia mkono kutoumia.. utajikuta unashona bila mkono kuumia.
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app