Mkuu wa shule Yuko paleeee anasubiria January tukapambane nae...nimemsikiliza Mzee mwenzangu Watu8 kasema nichomoe kwenye ada nimwagilie moyo kwamba elimu Haina mwisho.
Hello humu, hamjambo panapo uzima tarehe ya mwisho ya mwaka, huu nitakuja na picha π€£π€£π€£π€£ sema jinsi ya kutuma ndiyo shida sijui vinakuja vitu gani. Nawapenda π
Hello humu, hamjambo panapo uzima tarehe ya mwisho ya mwaka, huu nitakuja na picha π€£π€£π€£π€£ sema jinsi ya kutuma ndiyo shida sijui vinakuja vitu gani. Nawapenda π
Mkuu wa shule Yuko paleeee anasubiria January tukapambane nae...nimemsikiliza Mzee mwenzangu Watu8 kasema nichomoe kwenye ada nimwagilie moyo kwamba elimu Haina mwisho.
Kumbe sasa nimeelewa. Haya tuombe uzima. Sasa nifundishe jinsi ya kuweka picha. Kuna siku niliahidi vizuri, nikaweka ila ikatokea namba sijui aaah hata sielewi
Kumbe sasa nimeelewa. Haya tuombe uzima. Sasa nifundishe jinsi ya kuweka picha. Kuna siku niliahidi vizuri, nikaweka ila ikatokea namba sijui aaah hata sielewi
Hapa ndio penyewe na vocha utakuwa unapata za bure maana hela zangu hazina kazi π₯°. Wigelekelo hebu toa maelezo chap namna ya ku-upload picha kwa watumiaji wa tekno.
Hapa ndio penyewe na vocha utakuwa unapata za bure maana hela zangu hazina kazi π₯°. Wigelekelo hebu toa maelezo chap namna ya ku-upload picha kwa watumiaji wa tekno.