Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nilikuwa nimechoka sana, kichwa kinanigonga Kwa kweli nisingeweza kusimama.hahaah ukamkaushia halafu wanajua tu utampisha ... anasimama pembeni yako kabisa .
nashukuru route nayokaa haina shida ya usafiri .. watu wanashuka njiani .. hata ukisimama huteseki
Tena nilikaa dirishani,mwenzangu ndio alikaa pembeni


