Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ntakuwa namsongea ugali wake mwenyewe [emoji16][emoji16]
Utaweza kweli kusonga ugali wa kumshibisha Msukuma wa kweli kweli kama mimi? Huoni hapo juu umepewa onyo kuwa Wasukuma tuna mapipa tumboni? Shauri yako! [emoji16][emoji16][emoji16]

tapatalk_1471216382534.jpg
 
Kwa kua uko na mjeda wako bas unatuonaa wenginee mavii, yatakushindaaaa mwayaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 unaniua mbavuu hukuu cocaaa😂😂😂😁😁😁😁!!
Next week nakufata Hadi mlangoniiiiiiiii!!😘😘😘😘😘
 
Back
Top Bottom