Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Wanaovaa nguo fupi wauwawe😂Ukatili wa kijinsia📌
Wanaovaa nguo fupi wauwawe😂Ukatili wa kijinsia📌
Hatari labda wanajua kupika aina fulani ya vyakula kama chapati , ,bites ,vyakula vyenye kuhitaji nazi etc .Tanga uwa kunasifika kwa Mapishi ila mbona nimefika nakula mavyakula mabaya hayana ladha too much spices yaani daah hapana aisee.
Jana Mlenda umewekwa kitunguu swaumu nikashindwa kabisa kidogo nitapike
hahaha,Kumbee?!
Kuna zee la mchongo
Yeye anaagiza miwani
Zee nuksi yule na anaowaagiza
Ni visu kweli kweli
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Chef wetu wa selfikaUmenikumbusha Kuna sehemu nimeishi wenyeji watanga ukitaka kupika anakaa jikoni weka hiki weka hiki nikamuangalia kumbe mwenzie mpishi hasa siku moja nikamzuia nikamwambia nikiingia jikoni usije mbona nilimyoosha hasa Kila anachosema tupike najua kupika kumzidi 😂
hakuna Cha Tanga Wala handeni maviungo tu ila vyakula havina ladha Wachache wanaojua kupika vizuri
😍😍
Nkamu mchana leo nimehangaika sana sehemu ya kula nimetamani ningefikia apartment nipike mwenyewe
Labda yaani halafu ni wavivu wazito yaani wabadilike aiseeHatari labda wanajua kupika aina fulani ya vyakula kama chapati , ,bites ,vyakula vyenye kuhitaji nazi etc .
kwenye Mapishi binafsi nimewawekea sifuriMlenda unaungwa na nazi si kutafutiana mchafuko wa tumbo !!
ulimkomesha🤣😂😂Umenikumbusha Kuna sehemu nimeishi wenyeji watanga ukitaka kupika anakaa jikoni weka hiki weka hiki nikamuangalia kumbe mwenzie mpishi hasa siku moja nikamzuia nikamwambia nikiingia jikoni usije mbona nilimyoosha hasa Kila anachosema tupike najua kupika kumzidi 😂
hakuna Cha Tanga Wala handeni maviungo tu ila vyakula havina ladha Wachache wanaojua kupika vizuri
dah ,huko mbona sioLabda yaani halafu ni wavivu wazito yaani wabadilike aisee
Mwee pole sana Nkamu😂Nkamu mchana leo nimehangaika sana sehemu ya kula nimetamani ningefikia apartment nipike mwenyewe
Sahiz ana adabu 😂😂ulimkomesha🤣😂😂
Yaani watu tumekariri wakati nimefika nilikua nina kiherehere maana napenda kula ila Dooh kwenye sehemu nilizotembea huu mkoa ndiyo umenidisappoint
Aunt yangu mzuri mzuri😍😍Nasubir mualiko jamni nitoke Shamba huku nisipoangalia sikukuu itanikuta hukuhuku😀View attachment 2453886
😀😀Aunt wewAunt yangu mzuri mzuri😍😍
Hizo lips aunt mimi hoi😍
UmependezaThanks giving..
Ndo unakula au unashtua kwanza 😂 kingine kinakuja