cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Mkuu inabidi wewe ni hatari ni moto wa kuotea mbali, sisi tunakula kwa macho tuumambo yangu hayaaa 😊😊😊View attachment 2453178
Wapi huko jirani nije niwachungulie


we unatafuta kupofuka macho sasa jiraniAcha niendelee kusaka hela mambo mazuri hayaaaa 😋😋Mkuu inabidi wewe ni hatari ni moto wa kuotea mbali, sisi tunakula kwa macho tuu
angalia vizuri 😅😅😅
Mkuu inabidi nifuate nyuki huenda nikaambulia masega
Vibaya sana☹️Unajiskiaje kuniita ex![]()
siwafikii kwa urembo hao .
Afadhali umekujasiwafikii kwa urembo hao .
Unajua kuwa na mimi ni Msukuma?Msukuma njoo kule nikwambie






Akuelekeze njia vizuri chiefUnajua kuwa na mimi ni Msukuma?
Nije wapi sasa?![]()
picha nimezipata lolAfadhali umekuja
Ulijificha sana
Ebu selfika tuthibishe hoja yako😜
Sasa una mpango ganiVibaya sana![]()

Unajua kuwa na mimi ni Msukuma?
Nije wapi sasa?![]()


njoo kijiweniNgoja nibadili dini kwanza 😉Sasa una mpango gani![]()
Embu jitahidi ikubali mkuu.picha nimezipata lol
Mungu ni mwema .
selfie inagoma .
sidhani aiseeEmbu jitahidi ikubali mkuu.
sidhani aisee
browser nayotumia ina shida
kimeo kimegoma MkuuJitahidi