National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
mbona humu nimetemwa na watu π π π kuna mmoja namuangalia kidogo anitoe roho yangu.. mshenzi sana yule mtoto.. ila fresh bado namuelewa lakini alafu anajua namuelewaWacha weee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mjedahahahahaha
High heels navaa 37..haina tatizo,wewe tu
Weee usiniambiembona humu nimetemwa na watu π π π kuna mmoja namuangalia kidogo anitoe roho yangu.. mshenzi sana yule mtoto.. ila fresh bado namuelewa lakini alafu anajua namuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada unanionea bhana 20 tenaaaaa, khaaaahKheri ya siku ya kuzaliwa dogo langu[emoji3059],
Allah akujaalie kheri[emoji1545][emoji1545]
Hiyo miaka 20 usijione mkubwa kutuvimbia wakubwa zako humu, mfyuuuuuuuu[emoji855]
Ndiohahahaha,sasa kipenzi hilo nalo lakujadili?
Nakupendraaaaaaaaa piaaa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]Basi nikajaribu kuangalia nione nani kaanza kukuwishi selfika nikasema ngoja niwe wa kwanza.
Kwani umeona sasa woiβ¦
Nakupenda pia my love waiti
mchuchumio?High heels navaa 37..
π π π katili sana haka kamtu.. kakanimimina kama majiWeee usiniambie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chiziiiiiiii. Hebu mtajee hapa.mbona humu nimetemwa na watu [emoji28][emoji28][emoji28] kuna mmoja namuangalia kidogo anitoe roho yangu.. mshenzi sana yule mtoto.. ila fresh bado namuelewa lakini alafu anajua namuelewa
Hata wewe anaweza kuwa kipenzi chako ujueππHahahahaa ndo wewe kipenzi cha mtu chake
hahahaha,huo mjadala unaanzaje sasa kipenziNdio
Aise..mapenzi ni kitu cha kiwaki sana mxiuπ π π Nimeachika sana na kubwa kuliko kuna mdada chuo enzi hizo nime mtoa out .. kakutana na jamaa kaingia mkenge nikaanza kupangwa ni kaka yake nikaachwa kikatili, nikarudi hostel peke yangu yeye nikamuacha na kaka yake, miaka 11 mbeleni kaja kitaa anatafuta nyumba, akapewa namba na dalali kajieleza simjui na hanijui , nikamuambia nitakuja hapo niwape funguo mkague. Nimefika mwamba ( baba mwenye nyumba nasikilizia mteja ) malaa paaap huyo mtoto Vanessa π π π aibu ya hatali shangazi la watu.. nikajidai sijarii.. akapapenda nikawaacha na dalali nikasepa.. siku akanipigia ananioamba tuonane π€£π€£π€£π€£ nikalipwa hasara zangu zote za miaka iliyopita ila hiyo sio karma ni dunia duara .. inashort kuachana kupo inakuwa tatizo unapo ona hustahili kuachwa.. usimuamini mwanadamu 100% mwanadamu anaweza akawa chochote na mda wowote.. watu tunakutana na mengi.. ila kujifunza kukabiliana na yanapotokea..
Mmmmh unakuwaje kipenzi chake ?Hata wewe anaweza kuwa kipenzi chako ujueππ
π π π Depal mbona kanimimina na maisha yanaenda ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachekaaa km chiziiiiiiii. Hebu mtajee hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaelekea kama sio kafupi basi katakuwa karefu kembamba kama uziπππ π π katili sana haka kamtu.. kakanimimina kama maji
Hata sielewi kipenzi nafikiri unaanzia mwanzoππhahahaha,huo mjadala unaanzaje sasa kipenzi
Atakuwa Depal tumbona humu nimetemwa na watu [emoji28][emoji28][emoji28] kuna mmoja namuangalia kidogo anitoe roho yangu.. mshenzi sana yule mtoto.. ila fresh bado namuelewa lakini alafu anajua namuelewa
π π mapenzi ili ufurahi usiyachukulie serious sanaaa kivilee, yaona kama yapo yapo , alafu develop sana ushkaji na mwenza kuliko kuwa wapenzi.. hapo utapona ila bila hivyo jiandae kisaikolojiaAise..mapenzi ni kitu cha kiwaki sana mxiu
Acha woga basi my love..unaweza tuMmmmh unakuwaje kipenzi chake ?