Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa watu wanakataaa uongoooo, tatizo udanganyifu hapo tyuuh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadanganywa huna akili na macho ya kuona ? na kama unadangnywa maana yake unatamaa .. kudanganywa ni kama mtego .. sasa unawekewa mtego unanasa maana yake hukutumia akili vizuri kama.. na wengine hawadanganywi mtu anaweza kuwa na nia njema ila ukikaa na mtu ujue unaonamuona kama mchele au pumba .. unajikuta hapo mbeleni tutachoma moto.. kwanini msiachane au usiache .. kuachwa kupo tu, nina list ndefu sana ya walio niacha asee na sio kwamba waliniacha kwa mabaya au tuliachana kwa ubaya.. ila nikaja jifunza kitu ( mapenzi kudumu inatakona na aina ya scarifier -) hadhina yako ilipo ndio moyo wako ulipo.. kama hakuna exchange kati ya wote na ukiona halipo hilo kati yenu jua hamdumu hata uroge
 
sasa wee nae unaingia miguu yote, akili iko mikononi hapooo tyuuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
raha ya mapenzi ingia mzima mzima kama mtaliban vile najitoa muhanga ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… nishakuwa sugu.. ukimpiga chura unamuongezea speed ndio mimi.. ukiniacha unanjsogeza kwa pisi kali zaidi
 
Umeongea kitaalamu mnoโ€ฆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ