Endelea kukaza mwanangu 😂😂Msisahu kuna majira ya ukame na ya kutengwa kwa nyakati. haya mambo ni complex haya kanuni maalumu, kuna watu wanaachana wakirudiana inakuwa bora zaidi, kuna Harmonize na Kajala sample.. kuna sample nyingi ambazo hazina conclusion kwamba lazima iwe hivyo.. mwanamke wangu tuliachana miaka miwili kila mtu akawa na life lake tukajikuta tumerudiana tu.. na ikawa bora zaidi ya awali haya mambo ni rahisi sana kama una akili timamu.. mbona mie Depal alinitenda alafu silii lii humu 🤣🤣🤣 nakaza
Pole shost , muda unakaribia ilaIbada njema.
Mm nasubiri saa 10 ifike nichomoke shwaaaa.
Swaumu kali nimelegea Kama uji mwepesi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Madam kama madam 😍Enjoy your weekend guysssss!!✌️✌️✌️✌️✌️!!
Bado rafikiHujaoga tu Wige?? Acheni kujadili watu wanapelekewa hizi taarifa mjue mie simooo!!
Hebuu selfikeni basiii mjomba National Anthem Anthem fanya manufaa selfii yako mjombaa
Msisahu kuna majira ya ukame na ya kutengwa kwa nyakati. haya mambo ni complex haya kanuni maalumu, kuna watu wanaachana wakirudiana inakuwa bora zaidi, kuna Harmonize na Kajala sample.. kuna sample nyingi ambazo hazina conclusion kwamba lazima iwe hivyo.. mwanamke wangu tuliachana miaka miwili kila mtu akawa na life lake tukajikuta tumerudiana tu.. na ikawa bora zaidi ya awali haya mambo ni rahisi sana kama una akili timamu.. mbona mie Depal alinitenda alafu silii lii humunakaza
😅😅😅 nikaze eeh naweza okota dodoEndelea kukaza mwanangu 😂😂
Fanya nikuone😅😅😅 nikaze eeh naweza okota dodo
Eti akiiva!Kuna Kajala na Harmonize type.. kuna wengine mnachana ili akapate elimu alafu Mungu anaruhusu arudi baada ya kuwa ameiva, sasa ukishindwa papambanua hapo ndio unapoteza mtu wa hatma yakona kuna wengine shetana anawatuma kuja kukujaribu tena, wengine anatafuta kivuli tu cha kupunga upepo.. mambo haya ni tafrani
Hapo unawaambia nini hawa wadogo.. maana hayana formula .. isipokuwa kuna isharaNdiyo maana nilisema wengi sio wote. I didn't generalise. There is always an exception.
Plus amerudi na nini haswa cha kukufanya uone kweli huyu mtu amejifunza kitu huko nje na anamaanisha kweli? Sio mbambamba zilezile za zamani afu anajifanya ooh wewe ndiyo mke wangu, nimerudi. Manaa na sisi ukiitwa tu "mke wangu" unajiona tayari mbele za baba Paroko. Utalia tena kama Kajala
Basi nitakuja huko wakati mnatoka nitakuona
WeuweeeeEnjoy your weekend guysssss!!!!
Shangazi mbona umepunguza mwili 😊😊😊.. unafanya zoezi gani.. hapo umekuwa ndio unanoga sasa.. ebu nyuma tuoneEnjoy your weekend guysssss!!✌️✌️✌️✌️✌️!!
😅😅😅 Unajua imekuwaje😂😂😂😂 kwani imekuwaje
Ulitaka kunisalimia njoo huku kwenye kambi ya Jeshi Mbalizi tuselfike!!
Unamtisha afisa kipenyo wa mabaka mabaka, anaweza watoa hapo kambini kwa simj moja tu 😅😅😅Ulitaka kunisalimia njoo huku kwenye kambi ya Jeshi Mbalizi tuselfike!!