Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenichekesha huku jamani

Wengi hata huwa hawamaanishi; anakuja kupima tu kama anaweza kupasha kiporo or not. Utaona kabisa amerudi; ila hana jipya la maana

Plus mtu aliyekuacha akaenda huko kwingine ndiyo akaamue akurudie; inawezekana wala hata hajajifunza lolote; anatafuta tu pa kukimbilia kwa muda na wewe ndiyo boya wake; possibly kakosa kwingine pa kukimbilia. Kwa nini asirudi kwako akiwa bado hajatendwa huko nje? Ni kama wale tu wanaume wanaowakimbiaga wake zao mambo yakiwa mazuri; anakuja kurudi uzeeni amechoka, apeche alolo. Utasema amerudi kwa mkewe kwa sababu amegundua makosa yake na bado anampenda?
 
Hakika haukua mama mchungaji kwa bahati mbaya ๐Ÿ˜

Asante, mwenye masikio na asikie....
 
Asante kwa kukaziaaaa
mama pastaaa
!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ