AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Babee ndo unioni au una mshikaji mwingine😂😂😂😂😂Mremboooo
Babee ndo unioni au una mshikaji mwingine😂😂😂😂😂Mremboooo
Kumbe ulikuwa hujui Nina pisi kali afu anakusalimiaIpi hiyo ya humu au
Na mm nijeFanyaaa ukujeee.
Sijaona naiona Croatia vs ufaransa tena
Wamezingua sana
Mtagi tuchart nayeKumbe ulikuwa hujui Nina pisi kali afu anakusalimia
Yupo jukwaa jingine huko huku nimemkataza kbsa kujaMtagi tuchart naye
Wewe haunaYupo jukwaa jingine huko huku nimemkataza kbsa kuja
Babeeee wee c umeniachaa wee?Babee ndo unioni au una mshikaji mwingine![]()





No babee wangu nikikuacha wewe ntaenda kwa nani mm sina mwingine zaidi yako sweetheartBabeeee wee c umeniachaa wee?![]()
Tulia hvyo hvyo single ufe na hamu zakoWewe hauna
Mm niko na babee wangu toto toto kweliTulia hvyo hvyo single ufe na hamu zako
Mwaka wa 5 huu upo singleMm niko na babee wangu toto toto kweli




Subili kadi ya harusi nikuleteeMwaka wa 5 huu upo single![]()
Umeamua ujikite na yolly yolly baada ya pira Brazilian kukugeukanakuja naye


Itakuwa card alizotumwa asambaze 😅😅😅
Ndugu yangu niache kbsa maana Jana ulikuwa siku mbaya sana kwangu nimebet nimeliwa laki 2 huku Brazil naye kafungwa maana huko status whatsapp nilivyokuwa nasumbua najuta yaniUmeamua ujikite na yolly yolly baada ya pira Brazilian kukugeukaView attachment 2441795
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app