cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Sasa unaniita huko na mchumba anaona jaman, naogopaaa kuchwaa mwenzio, nampenda mchumbaa angu.
Sasa unaniita huko na mchumba anaona jaman, naogopaaa kuchwaa mwenzio, nampenda mchumbaa angu.
Mchumba sikuji hukoo,, unaniacha kisa mm ni mweusi au,, unasahau nimetoka nyasamchumbaaaaa sasa nawee unaharibu. Hebu njoo ndani kwan.

Humuwezi

Sijaona naiona Croatia vs ufaransa tenaMabingwa tarajiwa
Mchumba hebu ukuje ndani bhanaaa nawee, mekumic.Mchumba sikuji hukoo,, unaniacha kisa mm ni mweusi au,, unasahau nimetoka nyasa![]()
Nimegoma sikuji,, njoo uniueMchumba hebu ukuje ndani bhanaaa nawee, mekumic.

Njoo bhanaa mchumbaaa.Nimegoma sikuji,, njoo uniue![]()
Kuna ubwabwa?Njoo bhanaa mchumbaaa.

Chap nakujaUpoooo![]()
Aisee mrembo
Utaishia kula kwa macho kijana 😂😂😂😂😂😂Aisee mrembo
Utaishia kula kwa macho kijana![]()




nina pisi moja kali sana matata nimeoza kwake
Ipi hiyo ya humu aunina pisi moja kali sana matata nimeoza kwake
Abeeeeeeeeh Ngoshaaa.
Fanyaaa ukujeee.Chap nakuja