Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo sitii neno mkuu! Sitaki kupopolewa na wenye imani zao..coz kuna watu wanachanganya imani na tamaduni.
😅😅 Utumwa wa akili, wa wapenzi wa hiyo jamii.. Mie binafsi siwapendi nawachukia sana.. na kwetu kuna ndugu zangu wameoana nayo na mie ilibaki kidogo nioe limoja, hamadi allah akaniepusha na balaaa asee.. maana kwanza liligomabnisha na mke wangu ili likae lenyewe 😬😬😬😬
 
Kabisaaa mie ndo yananipeleka puta hatareee, 2023 ipiteee nizamee mkoa mazimaaa

Dar sipawezi kwa kweli.
FB_IMG_16703915999005236.jpg
 
Jana mechi ya Brazil dhidi ya Korea Kusini ndiyo iliyokuwa mechi ya Mwisho kuchezewa kwenye Uwanja huu unaoitwa 974 Uliojengwa kwa Makontena. Kuanzia leo Uwanja huu utabomolewa na Makontena hayo yatatolewa Kama Msaada kwa nchi za Afrika.
Kumbe wanatupa msaada, Afadhali
Manake roho iliniuma, uwanja mkali namna hiyo unakwenda kufumuliwa.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Jana mechi ya Brazil dhidi ya Korea Kusini ndiyo iliyokuwa mechi ya Mwisho kuchezewa kwenye Uwanja huu unaoitwa 974 Uliojengwa kwa Makontena. Kuanzia leo Uwanja huu utabomolewa na Makontena hayo yatatolewa Kama Msaada kwa nchi za Afrika.
Sasa si waunyanyue na crane afu wautue pale Moro town mbna fresh tyuuh.
 
Back
Top Bottom