Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Wataenda gym,watatafuta Hela
Mwishowe watamalizia na bangi wafe.
Wataenda gym,watatafuta Hela
😂Wengine tutaonana peponi
Wewe acha zako..😂
Mm nakuonaga kkoo
Hongera...Marhabaaa nakupa matokeo ya auntie Yako kapiga A swaafi kabisaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nako nilikuonaWewe acha zako..
Mie nipo zangu tunduma huku🤣
Wadau walipendekeza aitwe "Mpwayungu"🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hongera...
Wifi yako kakuletea uncle.
Nilikuita juzi tuchague na jina hujaja.
Aahh.. We unakubali mwanao aitwe hivyo, atakuwa mtu wa sifa, baba yake uwezo wa dona dagaa yeye anataka biriani ya ngamia 😂Wadau walipendekeza aitwe "Mpwayungu"🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duh!! Nimesalimu amri 😂Nako nilikuona
Waoo..mashallah jamanii sikuona tag brooh daahh...hongera sanaHongera...
Wifi yako kakuletea uncle.
Nilikuita juzi tuchague na jina hujaja.
Acha kabisa nilikua class majibu natumiwa na baba Ake(usishangae ndo walivyo)hawalei ila wanafatilia Ili nikianguka afurahie Sasa Mungu kampiga za usooo.Weuweeee
Kipanga wetu Rey
Tena nilitaka kuuliza
Ndio utusokomeze na maneno 😂Acha kabisa nilikua class majibu natumiwa na baba Ake(usishangae ndo walivyo)hawalei ila wanafatilia Ili nikianguka afurahie Sasa Mungu kampiga za usooo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wanaendelea fresh nashukuru mungu.Waoo..mashallah jamanii sikuona tag brooh daahh...hongera sana
Wanaendeleaje?natumai atakuwa na jina zuri lenye maana nzuri mnoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
🤗 nasubiri Airtel.Selfika na #halotel#
*104*5262511836667#
Atakomaje mwaka huuAcha kabisa nilikua class majibu natumiwa na baba Ake(usishangae ndo walivyo)hawalei ila wanafatilia Ili nikianguka afurahie Sasa Mungu kampiga za usooo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app


Selfika na #halotel#
*104*5262511836667#
mpwayungu villageAahh..
Aahh.. We unakubali mwanao aitwe hivyo, atakuwa mtu wa sifa, baba yake uwezo wa dona dagaa yeye anataka biriani ya ngamia![]()