Nimekutana na makufukuri 12Ni kweli nenda chap afu ukiipata nipasishie na mimi boss wangu😁
Umechelewa kutoa ruhusa😁
Nimekutana na makufukuri 12Ni kweli nenda chap afu ukiipata nipasishie na mimi boss wangu😁
Kuna nn kwan?Unbeaten Yanga
huu ndo mpira
Pole sana sana kama umelikosa aiseeJamani "Halifichiki" limenipita kumbe? Daah
Kagongwa na ihefuKuna nn kwan?
Usiwazeee best hiyo umepataaaMjep naomba vochaaa jaman yaan unatakaaa nikulambeee had wapiiii?
Seriously!!! Niwekee vocha kule ya 20k. Usipuuze.
Boss lady hawezi kulala sasa hivi anasubirii mechi ya IraniUsiku mwema wapendwa mlale unono!!!!!
Soweto ya malamba mawili kuelekea kifuru au? Segerea road?
ndo hapo au?
Zote zinachezwa wakati mmoja madam leo nimtoano🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwanza ni Wales na England au na USA?????
Utanipa report ya kigodoro keshoooo nina huo usingizi balaaa 😄
Lol kumbee ngoja nikomae basii!!Zote zinachezwa wakati mmoja madam leo nimtoano
Hiki kigodoro tumeahidiwa tangu asubuhi hakiwekwi tuu? Mimi nilihisi kimeshanipita hivyo😁
Mbna kulee sijaonaaa, niwekeee bas sahiv, au unatakaaa nisionekane hapa jukwaani?Usiwazeee best hiyo umepataaa
Ila usisahau kigodoro
Hapa sibanduki leo
Hii ipo jiran vunjabei shop sinza ,segerea warembo mnaenda kufanya nn mtanyweshwa sumu njoo ule hennessy utazeeka huko ni baa ya vioo vitupu full ac





ndo nlitaka nshangae, Soweto park kuna wadada classic gan? Labda hapo Sinza sawaaaa. 




wee babuuu hajarudi bongooo? Bado uko kwa Biden?