Daah sema Mkuu kila mtu anajinsi anavyochukulia tatizo likimpata.. I'm not a saint or Jesus Cousin.. But Napenda tuwe tunatumia wema zaidi.. unajua jesus nae alikua binaadam so inawezekana pale u binaadamu uli outgrow uungu wake..ndio mana akatumia Nguvu!
Nimekupata kamanda. Hatuwezi kufanana. Na katika utofauti wetu ndimo mna maana halisi ya maisha kama yanavyoishika katika kasayari haka kazuri tulikopewa tukaharibu. Tutakwenda kufanana mbinguni/jehanamu
Kuna jamaa amelewa anasema anamkubali sana mondi kwenye tivii yake anatuekea ngoma za mbele tu ila kipindi yupo Harmonize alikua haweki siku akiachiwa studio
Si ninasoma visa na mikasa yenu kila siku humu nabaki tu hiiiiiiiiii!! Nikimuona shemeji yako anaingia jf nitalia walah, unless awe EMT hapo nitamuelewa.
Jamani. Mi 65+ kweli unanipachika udogo wako. Siyo kwamba unipe ukaka mkubwa na shikamoo juu tena huku ukiwa umepiga goti chini kama mabinti wa Kisukuma?
Tuvumilieni tu; na kama ilivyo mtaani, wote humu si mafurushi/mambwa