Wapo shoss!! Uwii ni wakorofii balaaa AfunAdvance boys tupu ni wana fujoo nyiee uwiii!!Hivi advance hapo hawapo wa science? Nlijisemeaa nikiwa mwalimu nta deal na advance tyuuh. Na ningekua siwafatilii couz wanajitambua.
YeahNdio zina Camera nzuri kiukweli
kha ulimpiga na kitu kizito .
Ndio izoizo filter zinanitoa vibaya kuliko Kamera za kawaida!filter hizo au ?
itakuwa hujazizoea labda
mie nilikuwa nazipenda sna , hadi kurekodi video za kijinga .
Ewaah 😍😍zinatusevu ivoivooooo watuwache na Tecno zeeituuuuu👌👌👌👌
tafuta filter simple ndo nzuri , hazina mambo mengi lazima utokee vizuri trust me.Ndio izoizo filter zinanitoa vibaya kuliko Kamera za kawaida!
Huyohuyooooo😁😁😁😜😜😜!!yupiiiiiii?
Kama sio mpenzi wa ios ukiwa na google pixel 7 pro pia utaulizwa umetumia simu/camera gani, ipo vizuriYeah
quality photos 👌
Wapo shoss!! Uwii ni wakorofii balaaa AfunAdvance boys tupu ni wana fujoo nyiee uwiii!!
Kha upo vizuri aisee 😂😂wakati nipo 1St na 2nd yr, niliwatapeli sana watu mtandaoni.
Hata JF enyewee wako wawili, mwanzoni walinipapatikia khaaah nkawa saulaa m1 alintumiaga 80k ya kutumia, afu baadae ananambia tukutane ubungo plazaaa nkamchanaaa,
Mwingine alintumiaga 60k,huyu ndo anakujaga had PM kuniambia kuhusu hela, huwa namuambiaga utangazie umma wa jf mie tapeli,. Anajibu "wee chizi ulivyo huna akili utanidhalilisha bureee"
Na sibadili acc wala jina,. Afu sijariiii yaaan. Nakutana nao kwenye nyuzi zingnee.
Mie filter hapanaaa, bora niende zangu photoshoot tyuuh.Ndio izoizo filter zinanitoa vibaya kuliko Kamera za kawaida!
Ni kesi kila siku nakwambia!! Huko kwenye mapori sasa unakuta mkaka mmoja anawala mabinti wawili kwa pori huko ni zamu tu ya kuangalia walimu 🙌🙌🙌🙌!!bas o lev wasichanaa wanagongwa mande tyuuh na hao wakaka.
Wow camera nzuri .Kama sio mpenzi wa ios ukiwa na google pixel 7 pro pia utaulizwa umetumia simu/camera gani, ipo vizuri
Kha upo vizuri aisee
watu hao wanatoa pesa zao kiulaini
Uzuri hauogopi so mtu hawezi kukutisha bila kusahau wewe ni jeshi la mtu mmoja.
Mi mwenyewe sijazizoea kabisaMie filter hapanaaa, bora niende zangu photoshoot tyuuh.
Ni kesi kila siku nakwambia!! Huko kwenye mapori sasa unakuta mkaka mmoja anawala mabinti wawili kwa pori huko ni zamu tu ya kuangalia walimu!!
Ni bei gani hiyo? Nikivunja kikoba nikanunue aseeee.Kama sio mpenzi wa ios ukiwa na google pixel 7 pro pia utaulizwa umetumia simu/camera gani, ipo vizuri
Haswaaaaah.Mi mwenyewe sijazizoea kabisa
Hahaha eti customer care nzuri 😂😂😂mweh na unawapata hao .yaan mitandaoni watu wanatapeliwa sana, ukiwa na customer care nzuri na mpangilio waa mtego!!una wasaulaaa haswaaa.