Nimekuelewa mkuu..!!
Ila wakati mwingine ndiyo maana adhabu zikawepo ili kutukumbusha tunapokosea! 'Silence' siyo solution ya kila tatizo! atafanya hivi utakaa kimya kesho atakutoboa macho.!!
Nimekuelewa mkuu..!!
Ila wakati mwingine ndiyo maana adhabu zikawepo ili kutukumbusha tunapokosea! 'Silence' siyo solution ya kila tatizo! atafanya hivi utakaa kimya kesho atakutoboa macho.!!
Si ninasoma visa na mikasa yenu kila siku humu nabaki tu hiiiiiiiiii!! Nikimuona shemeji yako anaingia jf nitalia walah, unless awe EMT hapo nitamuelewa.