Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hahah unashabikia team gani Epl ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... Uwakika an mi sina timu ya moja kwa moja an... Hii ndo nature yangu 🤣🤣🤣
hahah unashabikia team gani Epl ?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... Uwakika an mi sina timu ya moja kwa moja an... Hii ndo nature yangu 🤣🤣🤣
🤣🤣 Ebuu muite bi mmoja kwanza aje huku.. mdaa sana hatujaongea nae...? Mi sina temhahah unashabikia team gani Epl ?
Akuje harakaaaa 🤣🤣🤣🤣Antonnia umemissiwa huku
🤣🤣 Ebuu muite bi mmoja kwanza aje huku.. mdaa sana hatujaongea nae...? Mi sina tem
Hahaha sijui mie🤣🤣🤣 anaambiwa nani huyo jamni
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mi nachekaga tuu.. ila hii nimeielewaHahaha sijui mie
Umeelewa nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mi nachekaga tuu.. ila hii nimeielewa
Ila hapa Tz hakuna sehemu ina jua kali linalobabua kama jua linalowaka DodomaMalaika wa zamu kitengo cha kuwasha jua...
:::Huku dodoma ndo hapashikiki
😂Bas mtupe hata afutatuAunt unataka na sisi tuanzishe vikoba kweli?🤣🤣🤣




🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣📌📌📌📌 Fanya na kutag watu kabisa bhanaYaani watu tupo busy na kombe la dunia mtu anakuomba hela ya kusuka![]()
Jamani Annie 😁😁☺️☺️🙈🙈🙈Happy birthday mdhunguu
Dada wa Mamtoni
Mdhughu wa bongo
Beautiful Lizzy
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe.
Mungu azidi kukutunza.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kuna nini namie nifurahie mjomba??? Furaha ni kufurahi na marafiki mjomba!!