Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Nakubali hunaga mbambambaUsijareeeee kabisa Mkuu ngoja nikuchekie za kalee labda!! Usipepese hata kopeeee
Nakubali hunaga mbambambaUsijareeeee kabisa Mkuu ngoja nikuchekie za kalee labda!! Usipepese hata kopeeee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Daah hatareee sana hiyooo... Nikawa najiuliza jamn dada mtu yup wapi mbona siku yangu leo itakua ya shidah 🤸🤸🤸 nafurahia uwepo wakoBwanabwanaaa jana ile mchana si nkajifanya kucheki boli la saa 7 kwa simu na tu mb twangu twa kubip??!!! Hata mpira hatukuumaliza tu Mb twote kwishaaaa 🤣🤣🤣🤣😁!! Huku kwenyewe bushiiii vocha hadi muagize mjini huko kwenye duka chair wa kitongoji!! 🤔🤔!! Leo Jioni ndio nikasafiri kufata vocha nahuduma zinazofanana nahizo!!
Ooooooh oky kumbe leo sabato inaanza... Jamni hata hakunambia mwnzio... Muite aje ata kuniaga bassiSabato ishaingia sijui atakua ametingwa Mungu wangu 🤔! Hebu nitest kwanza Beautiful sis Tinsley werayuuuuuu?? Umemisiwa mnoo hukuu
Kadogo alafu kakorofi....🤣🤣🤣Kapachino nawewe tubless mkuu kitambo sana hujatupia humu!
Boss ledi in da buildingKapachino nawewe tubless mkuu kitambo sana hujatupia humu!


Wabheja sana Ndugu!! Nipe matokeo ya Equator na Senegal kwanza Tanesco hawaaa!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Daah hatareee sana hiyooo... Nikawa najiuliza jamn dada mtu yup wapi mbona siku yangu leo itakua ya shidah 🤸🤸🤸 nafurahia uwepo wako
Nitake radhi dogo! Mie bibi zimaa waniita kadogo?? Shika adabu yako kijana!!!Kadogo alafu kakorofi....🤣🤣🤣
Nimemiss kiuno nyigu na jichooo do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Miwani miwan🧐🧐🧐Wabheja sana Ndugu!! Nipe matokeo ya Equator na Senegal kwanza Tanesco hawaaa!!!
👍👍True love comes with jealous in it 😁😁😁!! Tuliaaa dogo acheki bolii hukoo!!
Ni jukumu lako kufahamu hilo wantia aibu dadamtu ujue!! 🤭Ooooooh oky kumbe leo sabato inaanza... Jamni hata hakunambia mwnzio... Muite aje ata kuniaga bassi
Junia ameharibu simuNimemiss kiuno nyigu na jichooo do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Nimecoment kwa ile picha kwa kweli....🤣🤣🤣🤣🤣 Sijataja jina 🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸Nitake radhi dogo! Mie bibi zimaa waniita kadogo?? Shika adabu yako kijana!!!
Mkuu salama kabisa mnaendeleaje huko...Kwema jirani. Za masiku?
Habari za Siku mingi jirani ✋!! Miss you jeraneee sikuhizi umetugayajee selfika!!
Pole jirani, hujambo?
Ndio lakini ishu zingine ni za familia jamaniiii.. lazima nikufate wewe🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸Ni jukumu lako kufahamu hilo wantia aibu dadamtu ujue!! 🤭
Mmxxcieeewww..jitoe ufahamu tu!! Mama wawili yule !💃Nimecoment kwa ile picha kwa kweli....🤣🤣🤣🤣🤣 Sijataja jina 🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🤸🤸
Salama kabisa jirani...najiandaa na sikukuu ya mwisho wa mwaka.Habari za Siku mingi jirani ✋!! Miss you jeraneee sikuhizi umetugayajee selfika!!