Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kitabu kizuri
nilikuwa nawaonea huruma Wakina Atwoki as if ni kweli 😂😂
Yeahhh kina uhalisia sana! title unamezaa kama ilivoo We have to to good things/ to invest/ to work hard while we live in order leave good memories that will make us be remembered for kwa uzuriii wen we are gone na si kupita kama kivuli tu ambacho kina disappear wen the sun is gone!😁😁
 
Yeahhh kina uhalisia sana! title unamezaa kama ilivoo We have to to good things/ to invest/ to work hard while we live in order leave good memories that will make us be remembered for kwa uzuriii wen we are gone na si kupita kama kivuli tu ambacho kina disappear wen the sun is gone!😁😁
Ooh yeah
ni kitabu kizuri sana
kinatufundisha mambo ya msingi toka tupo wadogo. .ukikumbuka themes tu umemaliza .
 
Mwanaselfika aliyeko maeneo ya Sinza opposite na Mlimani City aje tufungue kombe la dunia tupige vyombo mpaka usiku wa manane
20221120-192947_Gallery.jpg
 
Sina hamu na banda umiza aisee
niliangalia mechi ya Simba na Yanga aisee kwanza watu wamejaa wengine sijui wanavuta bhangi. ...

nilikosa hewa aisee .. ikabidi na mechi niache kuangalia nirudi gheto.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona una bahati sana wewe an gemu la simba na yanga kibanda umiza ukitoka salama weeeh
 
Yeahhh kina uhalisia sana! title unamezaa kama ilivoo We have to to good things/ to invest/ to work hard while we live in order leave good memories that will make us be remembered for kwa uzuriii wen we are gone na si kupita kama kivuli tu ambacho kina disappear wen the sun is gone!😁😁
Weeeh an naona wamekuleta uwanja wa nyumbani...
 
Back
Top Bottom