Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Lini unarudi?Sijarudi bado![]()
Nataka bia
Lini unarudi?Sijarudi bado![]()
Tueleze husna kakupa nn ukaenda kuandika kwenye ukuta wa kanisaHatareee hiyo

Uliwahi kuandikwa??Enzi zetu
Kuna ile ya kuandika kwenye migomba

Kuja kitaa tumtafute husna akupe somo
Husna aje atupe tuition alimfanyaje huyo jamaa .
tujirekebishe kama ke .

Dah hapanaUliwahi kuandikwa??![]()
🤣🤣🤣 Miaka mia nane tupo huku... We are waiting.. sa jichanganye tuu..🤣🤣 na umechelewa kwel anHahhaa hamnipati 😂😂😂
kwetu njia nyingi .
ukipita huku unatokea na Kule pia hivyo hivyo .
Nitakuja nipate somoKuja kitaa tumtafute husna akupe somo![]()
Sijui hata walikuwa wanaandikia Nini😂Unatumia msumali kuandikia au..?🤣🤣🤣
Gaps hazijawah kuisha dunianiDah hapana

Niko poa sana nazurula tuNitakuja nipate somo
vipi how are you ?
naingiza Giza maana huko si wapajua kupata seat tu mtihani.🤣🤣🤣 Miaka mia nane tupo huku... We are waiting.. sa jichanganye tuu..🤣🤣 na umechelewa kwel an
ooh vizuri.Niko poa sana nazurula tu
Mnoooo!! Saivii ameoga kawaida akienda kulala anaoga mitishamba 😁😁😁😄!!Mda wa kuoga sio... Mtundu sana huyo😃😃
Kesho natoka,, tufanye jumanneooh vizuri.
kesho nitakutafuta twende kule tena .
nimepamiss![]()
Kabisa😂😂😂😂Gaps hazijawah kuisha duniani![]()
Okay , will let you know .Kesho natoka,, tufanye jumanne
Wahuni wakiwa wadogoKabisa
Gaps zipo maishani.
Ila watu walikuwa wanaandika matusi Jamani chaa.
Haya na wewe yako ni lini?Haka kawimbo nimekasikia juzi harusini
Aloo kanavibe