Tupia tena tafadhali tusuuze kiwi cha macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wazima humu
Acha kuzingua Mkuu 😀😀, naona huyu bwana Hazard CFC alitaka kusema na mama watoto wangu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Msubhate is back... Tulikumiss kiongozi.. Uliweza kuisimamisha forum ikazizima loh... [emoji109][emoji109][emoji109][emoji116][emoji116][emoji116]Tupia tena tafadhali tusuuze kiwi cha macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shemeji yupo salama anawasalimu sana kiongozi,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Msubhate is back... Tulikumiss kiongozi.. Uliweza kuisimamisha forum ikazizima loh... [emoji109][emoji109][emoji109][emoji116][emoji116][emoji116]Tupia tena tafadhali tusuuze kiwi cha macho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona yupo Mkuu, mlikubaliana kitu gani aise[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwambie mama watoto bado hajarudi toka ughaibuni?
Kidogo upatie..
Msata iyo Mzee baba
😂😂😂Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!