Acha kuzingua Mkuu 😀😀, naona huyu bwana Hazard CFC alitaka kusema na mama watoto wangu..Msubhate is back... Tulikumiss kiongozi.. Uliweza kuisimamisha forum ikazizima loh...
Tupia tena tafadhali tusuuze kiwi cha macho
![]()




mwambie mama watoto bado hajarudi toka ughaibuni?
Mbona yupo Mkuu, mlikubaliana kitu gani aisemwambie mama watoto bado hajarudi toka ughaibuni?
Kidogo upatie..
Msata iyo Mzee baba
😂😂😂Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!