Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Okay unataka kujua kwanini?? Ni kwa sababu wanawake tunapenda kweli ndiyo maana tukijua kuwa tunashare tunaumia ila ninyi hampendi kweli ndiyo maana mkijua kuwa mnashare hamuumii!!

Kama ulivyosema hapo kwamba kwa mke itakuwa ni vita ya tatu ya dunia ni kwa sababu huyo mke unakuwa umempenda,, hata sisi wanawake tusipopenda na tukajua kuwa tunashare wala hatuhangaiki..
Ndio hatuwezi Ku share kama nyinyi msivopenda ila tukijua reaction yetu inakuwa tofauti na nyinyi


In case kwa swala LA mke hio ni world war three
 
Location
1573540472457.jpeg
 
Umeongea ukweli mtupu
Katika mabandiko yako yote humu ndani hapa ndo nakubaliana na wewe
Okay unataka kujua kwanini?? Ni kwa sababu wanawake tunapenda kweli ndiyo maana tukijua kuwa tunashare tunaumia ila ninyi hampendi kweli ndiyo maana mkijua kuwa mnashare hamuumii!!

Kama ulivyosema hapo kwamba kwa mke itakuwa ni vita ya tatu ya dunia ni kwa sababu huyo mke unakuwa umempenda,, hata sisi wanawake tusipopenda na tukajua kuwa tunashare wala hatuhangaiki..
 
Back
Top Bottom