Selfika na JF: Snap it. Show it

Niko poa sana Mkuu..

Actually i am so happy today..

There is nothing as great as when you do something at the end it made you realize the other side of yourself...

I am no longer the same feeling 🀩
Glory to God πŸ™Œ
who made the heavens and earth .

"Happiness is when what you think, what you say, and what you do are in harmony."

keep up the spirit πŸ’ͺ
 
Hahaha nimecheka Sana baada ya kusoma comment hi; ndo nakata simu ya mwanangu hapa ananiambia yuko njiani anaelekea kitambaa hapo kubambia.
Kitambaaa pana noga sana aisee, ile kiswazi swazi.. navuta mda ifike saa saba usiku zinaanza oparation maalumu.. huwa kuna mizigo inamwagika mzee hatari tupu unaweza shindwa wa kuchagua wa kuondoka nae πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kitambaaa pana noga sana aisee, ile kiswazi swazi.. navuta mda ifike saa saba usiku zinaanza oparation maalumu.. huwa kuna mizigo inamwagika mzee hatari tupu unaweza shindwa wa kuchagua wa kuondoka nae πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Huyo dada anayemilikli kitambaa kazikausha bar zote za sinza aise!!

Huyo mganga wake aendelee kumkamatilia.
 
Huyo dada anayemilikli kitambaa kazikausha bar zote za sinza aise!!

Huyo mganga wake aendelee kumkamatilia.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Sijui katumia mbinu gani, huwezi amini Kona Bar nakuboreshwa vile lakini hakuna maajabu pamepoa kinoma watu wote kitambaa sijui kafanyaje tu yule dada.. Kuna siku nimeenda kona bar saa nane nikasema labda patakuwa pamewaka lakini wapi
 
I am overwhelmingly feeling good Mkuu,

I normally get crazy when i go throguh a situation like...

Nasubiri weekend nikajipongeze kwa misosi ya nguvu...
Ooh my , I love hearing good news..
go out and spoil yourself .

Enjoy to the fullest 😊

weekend imeanza , what are you waiting for πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pisi zote za corner bar zimehamia kitambaa!

Corner bar ilikuwa miaka ile ya 2012;
 
That's the definition of integrity also...

Kwa hiyo being integral is equal to being happy. ☺

Thank you Mkuu for sharing this wonderful insight
Thank you too bro
I always get excited nikisikia good news
Just be grateful to God πŸ™
 
Pisi zote za corner bar zimehamia kitambaa!

Corner bar ilikuwa miaka ile ya 2012;
Sure hiyo miaka ilikuwa imewaka kishenzi, nakumbuka enzi hizo hata wanyama hotel ilikuwa kwenye pick, enzi hizo tunachukua mademu pale tunalala nao wanyama hotel pale, aisee ilikuwa ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ ila wale mabaunsa wa kona bar nao wamedumu sana malaya wanaenda na kuisha ila wala. Mabaunsa wawili huwa wapo tu yule white na yule jama kajaa sana mfup wanamuita Mawazo πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Kitambo sana wananijua vizuri, nikifika sipati taabu yani napata 5 star treatment.. Huyo wa zaidi ya miaka 10 kaishajikatia tamaa, kuna mbususu pale nina zimiss sana bahati mbaya zimeolewa sasa hivi.. Kuna mmoja ilikuwa mke wa msoja, ilikuwa kila asubuhi kabla ya kwenda job tunakutana nayo kuna ki guest kipo pale sinza mugabe naweka ndio naenda job.. 🀣🀣🀣 Siku mmeweka alivyorudi toka sudan akanifungua madirisha kabisa, kona bar imetulea wengi sana 🀣🀣
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Na mkukula tayari.. Pale hata mie kuna mwanangu mmoja kila akitoka kutafuta liziki brake ya kwanza anaenda nitafutia pale.. Huwa nikikutana nae nacheka sana..
 
Jasiri aachi asili.
Endelea kuzisasambua tu mdau.


wife ndo kanipunguza sana speed.
Ukiwa na wife inabidi kutulia, mambo mengi. Mie nasema madam nipo alone naweza fanya uchafu wowote ule kwasababu sina wa kumuumiza, ila mda ambao nakuwa na mtu mke ndoa, kila kitu naacha.. Nabaki na wife nisije kuumiza mtu asie na hatia
 
Safi Sana najua apo utakutana na ile pisi classic inayokujaga na crown nyeusi kichwani huwa inaweka bleech ya brown.

Ama Kweli masingle mnaenjoy sana maisha!
Nampata vizuri sana, huwa inanishobokea sana toka ipo kona kule ina namba DV.. Haina maajabu kabisa ile kwangu.. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Used
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…