Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Leo nipo staff bizeeee kuhesabu hivo mwenzio 🤣🤣🤣🤣A-1
B-2
C-3
D-4
5-E
😂😂😂😂 mbona easy jamani
Leo nipo staff bizeeee kuhesabu hivo mwenzio 🤣🤣🤣🤣A-1
B-2
C-3
D-4
5-E
😂😂😂😂 mbona easy jamani
Upareni kuzuri dah!
Weee kumbe!! Lol Hivi nani mwingine wa Herufi E humu ....🤔🤔🤔🤔😂😂! Umbea huuu🤣🤣🤣🤣So yuleeeee bana
Ila sio huyo mama...akija siku humu utamjua tuMe sijamdhania mtu
Ndo hapo nimegonga mwamba
Nilomtaja na yeye within kuna alfabet5hiyo nimekufungulia ww

Ugali huo hautoshi hata kama iwe nimetoka kula mwingine kama huyu mpambanaji hapa



🤣🤣😂😂 na ukakuta wako wengiiLeo nipo staff bizeeee kuhesabu hivo mwenzio 🤣🤣🤣🤣
HayaaIla sio huyo mama...akija siku humu utamjua tu![]()
Mi hata nawajua sasa nilomuwazia sio!!🤣🤣😂😂 na ukakuta wako wengii
Ukabaki unapiga ramli
Sio lazima liwe mwanzoni 🤣🤣Weee kumbe!! Lol Hivi nani mwingine wa Herufi E humu ....🤔🤔🤔🤔😂😂! Umbea huuu🤣🤣🤣🤣
Hayanaga shida na mtu mnayasingizia bure tu yaani. Mapole hatari...! Mi saizi ya Kati banaaaa mbona nabebeka vizuree tyu mbonaa,
!!
Umenikumbusha SYB alisemaga mabonge yakideka yakasusa yanajitupa chini pwaahh![]()



Hapo ndo unanchanga mazimaaaa lol!Sio lazima liwe mwanzoni 🤣🤣
Lala kwanzaa 🤣🤣Hapo ndo unanchanga mazimaaaa lol!
Naubonge huo Niliimagine linavojitupa pwaahh 🤣🤣🤣🤣Hayanaga shida na mtu mnayasingizia bure tu yaani. Mapole hatari...
View attachment 2419635
Siku ile naikumbuka ulicheka hatari![]()
Mi niliwahi kusoma cryptography wakati fulani.Ila sio huyo mama...akija siku humu utamjua tu![]()




Mi niliwahi kusoma cryptography wakati fulani.
Code yako nilifanikiwa kuivunja immediately sema tu ni siri yangu![]()


Huyu ndo hatakiwi kudekaHayanaga shida na mtu mnayasingizia bure tu yaani. Mapole hatari...
View attachment 2419635
Siku ile naikumbuka ulicheka hatari![]()