JF ina visa na mie, afu sio mjep tyuuh wapo tena wengine wawili hapa hapa Selfika.
Tena mwingne ndo naambiwa eti nlikua najitongozesha kwakee, nkaambia, atoe text, au records au voice calls zangu.
Mtu hata no za hao watu cna, nashangaa JF inavo niandamaa.