National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
Nakupenda sana wewe mwanamke basi tu. Sijui nifanyaje ndio ujue nakupenda.. Ulivyo inaonekana kufurahi kwa uwepo na dk sifuriπ€£π€£π€£π€£πππππMie ukinikwazaa siongei wala kusumbuka ... Poker nasema uongo??π€£π€£π€£π€£πππ
Mjomba akili yako wewe mkeo ana kaziiiiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ!! Ila unaonekana mtu akikufurahisha pia atafurahi naroho yakee!!
Hahah yani wana masihara hawa viumbeMtakuja kitupiwa majini πππ
Hatari lakini salama
Feminisn inawaharibu, haya mambo yapo kwa procedure.. kuna part ya mwanaume na part ya mwanamke.. lazima utofautishe.. ushaenda casino ukute mwanaume anafurahisha watu au mwanamke ?Aiiiiii kwamba mwanamke haitaji kufurahishwa? Mbona mnajiendekeza hivyo jaman
Atatimiza vipi majukumu yake as your partner kama kila siku unampa vilio?
π€£π€£π€£πππUnamjaza tu mjomba Wangu!! Hahahaaa!Sema kuna neno moja alikuambia ndio nimeyaelewa maneno ya Lenie nadhani kama sio jana basi ni juzi alikwambia yeye ni mtu mzima na sio mtoto hatongozwi hivyo! Kwahyo mi nkajua ndugu yangu National Anthem ungejiongeza ila ukala kona ππ
Na huyo mtu alomfata kama sio meneja sijui π€£Hatari lakini salama
Hata mambo ya feminism siyajui, tuongee uhalisia hapa wa maisha yetu, mwanamke naye ni binadamu kama weweFeminisn inawaharibu, haya mambo yapo kwa procedure.. kuna part ya mwanaume na part ya mwanamke.. lazima utofautishe
Umenena jambo ni dismainder shida National Anthem hujifunzi kumsoma mtu usikubali kubaki nyuma mnyamwezi wangu.π€£π€£π€£π€£πππππMie ukinikwazaa siongei wala kusumbuka ... Poker nasema uongo??π€£π€£π€£π€£πππ
Mjomba akili yako wewe mkeo ana kaziiiiπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ!! Ila unaonekana mtu akikufurahisha pia atafurahi naroho yakee!!
Nitakuuliza swali kabla hatujaenda mbali, nipe majukumu ya mwanamke na mwanaume kwanza kama unayajuaHata mambo ya feminism siyajui, tuongee uhalisia hapa wa maisha yetu, mwanamke naye ni binadamu kama wewe
So kuna vitu kama binadamu anavihitaji ili vimpe furaha ana amani ya nafsi ndio aweze kutimiza majukumu yake vema kama binadamu
Ndiyoo mastaaaaHata mambo ya feminism siyajui, tuongee uhalisia hapa wa maisha yetu, mwanamke naye ni binadamu kama wewe
So kuna vitu kama binadamu anavihitaji ili vimpe furaha ana amani ya nafsi ndio aweze kutimiza majukumu yake vema kama binadamu
Ni yeyeeee lazimaNa huyo mtu alomfata kama sio meneja sijui π€£
Ila yule mtu ni mnaaa sijawahi ona π
Antonnia kaishanikataa ila anajua kila kitu π₯²π₯²Umenena jambo ni dismainder shida National Anthem hujifunzi kumsoma mtu usikubali kubaki nyuma mnyamwezi wangu.
Kwenye kitengo ganiNitakuuliza swali kabla hatujaenda mbali, nipe majukumu ya mwanamke na mwanaume kwanza kama unayajua
Taja general majukumu ya Me ni yepi Ke ni yepiKwenye kitengo gani
Nitaliaaaaaaaaaa..kwikwikwikwiii akiniachiliaaaa.....Oohh My Gadoooooπ€£π€£π€£πππππ
Nchi ishauzwa hii
Kwikwikwikwiβ¦.