Selfika na JF: Snap it. Show it

Kweli Kabisa diaa!! Unauvua utu wako kijinga tu!!
Mungu atujaalie tupate maarifa japo maisha yamebana .
tujitambue sisi wenyewe .

Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
 
Yako kama umeme wa Tz.. kukatika na kurudi shwaa
unajua nachekaga sanaaa.

Ktk mapenzi kinachouma, umeachana na mtu, utakuta likijiskia linatuma text "hata ujione classic au wee special sana usisahau mie nlisha kukaza"


Yaan nachokaga,
 
Leo Kuna mtu alikuwa ananiambia ukiwa Kama mchepuko , jamaa huyo hawezi kukusaidia ufanikiwe labda upate kazi , maana anajua ukipata Kazi au pesa zaidi utamuacha mchana kweupe .
Chepuko la hivyo mbona linatabiaa mbaya 🀣
 
Ma men wa hivyo washamba tu πŸ˜‚πŸ˜‚

Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?
 
Hilo li jamaa au lichepuko la hivyo la nn sasa, ni kulitupia huko.

 
Ma men wa hivyo washamba tu


Sasa ukikaza ndio nn? Ulikaza au tulikazana?
afu linategemea linakuumiza, huwa nali suprise.
"Yes ulinikazaaa, na nlikua happy haswaaa, na hata sahiv yupo mwingine ananikazaa, vipi hujapata bado wa kumkaza?

akanambia "aliye kuroga amekufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…