Amina ccy☺️Dah masikini😢
Ajali za moto zinarudisha watu nyuma jamani.. kutoka kuwa na kila kitu na kubaki bila kitu.
Ashukuriwe Mungu aliyewaponya.. Yeye mwenyewe anajua namna gani atawafidia.
Tuzidi kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto.
Hivi vifaa vya moto ni hatari sana.Ccy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.
Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.
Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
Mwee 😢
Jamani kama mkikaaa sebuleni watoto walazeni hapo hapo
Pole sana😂Mkuu
Huyo ninae ndani
Hapa iwambi maghorofani
Subiri apate ninachompatia
Nilijibu mbonaSwali gani hilo[emoji848]
Akijibu
Nimekaa palee
Yeah Kuni ni nzuri shida huku kwetu Kuni unatoa wapi. Ila sehem zingine me nkienda kuna Kuni napikia vzuri Alf chakula chake ni kutamu mno ☺️Hivi vifaa vya moto ni hatari sana.
Kuna gesi tulikaa nayo wiki 1 mtungi mkubwa 30 kgs ukakatika😂
Niliwaambia jamani hii gesi inavuja,, ilikuwa inanuka mno, wakasema kawaida..Ni Mungu tu alitunusuru haikulipuka maana harufu yake ilikuwa inasambaa jikoni kote hadi sebuleni.
Heater almanusura ichome nyumba.
Mtoto aliwasha akaitupia kwenye nguo.
Mama yake yupo nje anafua,machale yakamcheza akamuangalie mtotol kuja kustuka baadaye wanaona Moshi unatoka chumbani.
Mimi zangu kuni na mkaa.
Nikiwa na haraka natumia Kuni.
Ya uongo 🤣🤣🤣🤣Hapana kwa ile picha nakumbuka ni mrefu
Mijini Kuni ni changamotoYeah Kuni ni nzuri shida huku kwetu Kuni unatoa wapi. Ila sehem zingine me nkienda kuna Kuni napikia vzuri Alf chakula chake ni kutamu mno ☺️
Katikati jiraniJirani wewe upo upande gani hapo?
Haha!! Wigelekelo kwema brother[emoji849]
Wa kienyeji kabisa huyu unakula na mifupaMchumbaaa huyoooo Wigelekelo Carrasco putin mjedaaa mtu chake mjomba National Anthem T 1990 ELY Poker kazi kwenuuuu[emoji16]
Pole SanaCcy me hua nawaambia watu bora tu tuonekane washamba mim gesi naiogopa mno mno.
Nishaona matukio matatu ya moto ulosababishwa na gesi yani lkn huu wa jana hapana aiseh
Na kuna siku nilisahau heater kweny umeme. Umeme ulikua umekata heater ikawaka na haikua na maji ndani ikaungua ikatoboa ndoo ya mafuta ya kupikia ilikua jikoni pembeni kuna gesi, na kuna friji.
Mtoto angu alikua amelala hajui kutembea moshi ukajaa ndani mim nmeenda kumpokea mgeni kuna rafk angu mwingine alikua sebuleni ety mtoto angu aloshika kitandani akaenda kumshika huku analia ndo kwenda kuzima hapo kweny socket na mtu wa mfagio.
Nilivokuja kuhadisiwa baada ya kumpokea mgeni sikulala wala kula siku hyo nlishinda nmemkumbatia mtoto angu
Boda boda sio poa .Ulijuajee dear lol bodaboda washenzi sana yani wanawawehusha mno hawa mabinti wakazi!!
It's just phobia nothing elseNdio ikoje hiyo kukagua gas na kiberiti?
Mie nakutaka wewe, na wewe waniletea vitu vya sayari ingine tena 🤨🤨🤨Mchumbaaa huyoooo Wigelekelo Carrasco putin mjedaaa mtu chake mjomba National Anthem T 1990 ELY Poker kazi kwenuuuu😁
Na unakua salama baada ya hapo?
Hahaha AnneYa uongo 🤣🤣🤣🤣
Picha ya watu ile...
Kuna shostito alinionyesha..nyie mambo haya 😂..na wakaachana
Wewe hebu watu wasije nipita wakijua nipo dabo na picha ya mchongoHahaha Anne
jamani yule ni bae wako , usimkane
vipi how are you doing ?