Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,303
Tushaamka na tushaanza kuteseka muda sanaa!!Amkeni nyie au mpo busy na wapenzi yenu
Haya mwaka unaisha bado upo single![]()
Tushaamka na tushaanza kuteseka muda sanaa!!Amkeni nyie au mpo busy na wapenzi yenu
Haya mwaka unaisha bado upo single![]()
Mkipewa miongozo mnajidai hayanaga formula ....Hayanaga formula mamaaaa!! Hope uko poouwaahhh!!
Huo ndio ukweliiii!! Kuna wake wananyenyekea vizure tu wame zao na wanawaliza vilevile... kuna waume wanawapa kila watakacho wake zao na wanalizwa vilevileee..!! Tuishi humohumoo tu no way!!Mkipewa miongozo mnajidai hayanaga formula ....
Tatizo lenu mnadhani binadamu ni malaika. Sula la mpenzi mume mke kucheat ni la kibinadamu.Huo ndio ukweliiii!! Kuna wake wananyenyekea vizure tu wame zao na wanawaliza vilevile... kuna waume wanawapa kila watakacho wake zao na wanalizwa vilevileee..!! Tuishi humohumoo tu no way!!
Ofcoz Hakuna mkamilifuu .....! ni kuchukuliana kibinadamu tu na uvumilivu wa kuvumilia vinavyovumilika!!!!Tatizo lenu mnadhani binadamu ni malaika. Sula la mpenzi mume mke kucheat ni la kibinadamu.
Ni mwanadamu mjinga pekee ambaye anategemea ukamilifu toka kwa mwenza wake.
Sawa kakake, nasubiriaNikirejea
Nitakuonyeshea
😂Formula hayana ila ndo ukweli japo tunaukataa dadaJichanganye tu Mdogo wangu Hayanaga formula na no one is perfect!!!!!! Hope uko poouwaahhh!!
Mm mzima sana. Vipi wew
Ni vinini kwani,??? Hebu nitoeni ushamba mimii!!😉!!Mwee sijawahi, ila hua napenda wanaovaa na wanapendeza sana.
😂KwakweliHuo ndio ukweliiii!! Kuna wake wananyenyekea vizure tu wame zao na wanawaliza vilevile... kuna waume wanawapa kila watakacho wake zao na wanalizwa vilevileee..!! Tuishi humohumoo tu no way!!
That's good.. Mie pia nipo njema sana!!Mm mzima sana. Vipi wew
Usijali nitapita Jan mambo yalikuwa mengiThat's good.. Mie pia nipo njema sana!!
Jana ulisema utapita naked usiku kimyaaaa
Everyone desires to be happy mamy!! Nani anakupa hio happiness ndio kashesheeee!!😂Kwakweli
Usiwaze mamy!!Usijali nitapita Jan mambo yalikuwa mengi
Ni kivazi fulani amaizing, ngoja nitafute picha yakeNi vinini kwani,??? Hebu nitoeni ushamba mimii!!😉!!
Sawa mamy nitafutie nionepo !Ni kivazi fulani amaizing, ngoja nitafute picha yake
Good morning Mjomba!!