National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
🫨🫨 bado una bahati sana.. alafu na mie mzembe sana, siwezi kabisa malizia dah🥲
🫨🫨 bado una bahati sana.. alafu na mie mzembe sana, siwezi kabisa malizia dah🥲
Usinifanyie hivyoo mtoto wa baba mie 😬😬 kidogo tuuJilipueeee 😂😂👌
Uzee ndo mzuri babu G👌👌Mwezi Ujao nikipata usaidizi (Si unajua Uzee huu 🤪), ila ukiweza njoo univushe saivi nipo Ferry hapa 🤪🤪
Mimi huyu huyu😹😹😹🫨🫨 bado una bahati sana.. alafu na mie mzembe sana, siwezi kabisa malizia dah🥲
View attachment 2409338
🙂🙂 umekuwa suguu pro max tayariNdio nimekupa 😂
sitaki mfarijo bana maana sitakuwa na stress
Ukiwa golikipa alafu napaisha 😒😒😒 enewei wani dei ipoMimi huyu huyu😹😹😹
Zamani sana mwanangu 🤣🙂🙂 umekuwa suguu pro max tayari
Tuma meseji nitaona 😂Usinifanyie hivyoo mtoto wa baba mie 😬😬 kidogo tuu
La Nne D 🤣🤣🤣🤣Wakija wataalamu watakueleza zaidi, Mimi Babu yako niliishia la Nne la Mkoloni 🤪
Hujadekezwaa weweee, huo usuguu utasepaaa alafu ukipigwa tukio lazima urudi omba ushauri hapa, uZamani sana mwanangu 🤣
😂😂😂 mie huyuuHujadekezwaa weweee, huo usuguu utasepaaa alafu ukipigwa tukio lazima urudi omba ushauri hapa, u
Hujadekezwaa weweee, huo usuguu utasepaaa alafu ukipigwa tukio lazima urudi omba ushauri hapa, uZamani sana mwanangu 🤣
Audiomak sijaipenda goja nijaribu spotfy, nimeachana na iship napata taaabu kweli kule ndio kulikuwa na songs zanguu zote pendwa dah .. unataka $ ngapi nianze panda mbengu hata siku mkiachana unifikirie kwanza mieNational Anthem mwanangu nilipie Itune
Audiomack wanaboa 😂 au nilipie audiomack basi..
maana kitonga baadhi ya nyimbo hazidownlodiki 😂
Ndio wewe, bado hujapendwa hujafishwa kileleni pa mafanikio ya kipendwa wanakupalapalaza juu juu tu😂😂😂 mie huyuu
Natuma message umafunga pm mpenzi 🤣🤣🤣Tuma meseji nitaona 😂
😂😂 wasap katumeNatuma message umafunga pm mpenzi 🤣🤣🤣
Weeeuhhh 😂😂😂Ndio wewe, bado hujapendwa hujafishwa kileleni pa mafanikio ya kipendwa wanakupalapalaza juu juu tu
Whatsapp zangu hujibugi , au ume biblockowa ndio maana husomi 🙂🙂😂😂 wasap katume
Achana na mambo za Pm
Hahahaha.........ukikuta Mzee mrefu, amevaa Miwani ya macho anatembelea fimbo ndiyo Mimi.Uzee ndo mzuri babu G👌👌
Nisubiri hapo hapo nakuja niko mjimwema hapa.usiondoke.
Kumbukumbu inaniambia unadeni langu🫰🏿