National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
Weeeuhhh πππ
Weeeuhhh πππ
Kama $ 50 hivi πππAudiomak sijaipenda goja nijaribu spotfy, nimeachana na iship napata taaabu kweli kule ndio kulikuwa na songs zanguu zote pendwa dah .. unataka $ ngapi nianze panda mbengu hata siku mkiachana unifikirie kwanza mie
ππ kanyimbo ka kali basi tu
ππππWhatsapp zangu hujibugi , au ume biblockowa ndio maana husomi ππ
$ 50 mbona kama unanipiga π€£π€£π€£ au unataka sato tuu nayo bado napigwaa dah! Nyie wanawake mtatuuuaKama $ 50 hivi πππ
Audiomack nyimbo za kawaida ndio mb, ila classic classic hivi, baadhi ya gospo au nyimbo za zamani hupati yan kwa bure
ππ sasa hapo unapigwa nn?$ 50 mbona kama unanipiga π€£π€£π€£ au unataka sato tuu nayo bado napigwaa dah! Nyie wanawake mtatuuua
Siku zote hii ndio huwa naitumia hii, anza lipia kwa mwezi uone kama inakufaa na uzuri wa try free mwezi mmoja
Huoni umeongeza sifuri π€£π€£π€£ sema ulivyo kazuri sasa, inabidi kupanda tu mbengu ..ππ sasa hapo unapigwa nn?
Sato tu $ 5 ni 1kg
Ubaya si watataka access na bank? Naogopa tu hapo πSiku zote hii ndio huwa naitumia hii, anza lipia kwa mwezi uone kama inakufaa na uzuri wa try free mwezi mmoja
Kana vibe lake flani hivi.. huyu masigara anajua sijua ana nini tuππ kanyimbo ka kali basi tu
Tia juhudi π€£ maana na hili jua mbegu zinaweza goma kumea vizuriHuoni umeongeza sifuri π€£π€£π€£ sema ulivyo kazuri sasa, inabidi kupanda tu mbengu ..
Apple sio wahuni bana, tumia ABSA wapo vizuri sana kwenye online transaction na wapo na usalama wa juu, mie huwa nachofanya nina deposit hela kwenye account yangu ya apple , then narudi kwenye card nina stop kufanya any online trans, ila kama CRDB bado sanaaUbaya si watataka access na bank? Naogopa tu hapo π
Uniweke kwenye orodha juu ikitokea dharula nakuja chap chap kama team ya uokozi πππ .. acha nipande hiyo seed ππTia juhudi π€£ maana na hili jua mbegu zinaweza goma kumea vizuri
0 haina shida wee πΊ
Na ndio bank yangu hiyo CRDB..Apple sio wahuni bana, tumia ABSA wapo vizuri sana kwenye online transaction na wapo na usalama wa juu, mie huwa nachofanya nina deposit hela kwenye account yangu ya apple , then narudi kwenye card nina stop kufanya any online trans, ila kama CRDB bado sanaa
π€£π€£ nakuaminia one army soldier from rescue teamUniweke kwenye orodha juu ikitokea dharula nakuja chap chap kama team ya uokozi πππ .. acha nipande hiyo seed ππ
Ila upo sawa kuhofu, uzuri iPhone ( iOS ) unacholipia ni uhakika. Uje nikufundiahe basi mambo ya usalama wa mitandao na mambo yote yahusianayo na online trans tuanzie hapo kuyajenga buree kabisaa ππππ.. fungua account ya online trans ambayo unakuwa unaweka hela tu pale unapotaka fanya muamalaNa ndio bank yangu hiyo CRDB..
Yan uoga huo ndo unanibakiza Audiomack
πππ umeona eeeh chap chap.. nafika nakuokoa juuu hadi mahala salama na first aid kama zoteπ€£π€£ nakuaminia one army soldier from rescue team
ππππππππππππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπππππππππ₯Ίπ₯ΊππππππππππππSo sad!!_