Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.
Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.
Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.