DEMU KAMA SIO MKALI ANAKAMIA UKIONA MWANA ANAJISIFU ANAKIBAMIAwenye pete wengi wana stress wanataka faraja, sema kucheza makini sana. Ndoa zipo ICU usione watu nje wana ng'aa ukigusa tu unaenda kula .. ila mbinu za ki TISS zifanye kazi, avoid text , mawasiliano, kutumia gari yako na eneo lako, futa alama yoyote ile upitapo.. na uwe na control kwa mwanamke mbona hapa hata mwana atakuja kukulelea la junior kako
Upo sahihi kabisa, ndoa nying zipo hoi..ila tumo tunaishi nazo kibingwa🤣, muhimu tu msituchapie jamani..hahaha!!Brother! Mungu kakaa pembeni na ndoa nyingi sana, na shetani katamaraki .. Niamini mie brother yanayo endelea kwenye ndoa yanaseketeshaa sana, ndoa zimekuwa motoni.. warembo hadi kuamua kutunuku na kuzaa nje sio wanapendaa ... ila ni jangaa sana.. ndoa 100% ni asilimia 20% ndio unaweza kuta zina mapafu zingine zinapumulia machine, pita ustawi, nenda makanisani vilio vya ndoa kuna wake wazuri kinoma wa watu, ukitaka ni simu moja tu😟😟😟😟 sijui ndio wanasema God forbid...
😁😁😁 wake wa watu wamenoneshwa , kuna ambao hapa jf wanatupia alafu unaambiwa wake za watu, ila moyo unakataaa.. lawana sana ila basiUpo sahihi kabisa, ndoa nying zipo hoi..ila tumo tunaishi nazo kibingwa🤣, muhimu tu msituchapie jamani..hahaha!!
Mkuu,Utapambana na mkuyenge uko nyuma
...eeh uweke wazi mapema mkuu, wakulungwa wakiona peteless wanakuwa motivated
Eeh mkuu, hapa zinajaa gari ikifika saa kumi hata parking hamna. Watu wanapenda kufurahi jamani acha kabisa.
Nimekumiss pia Nkamu.Nkamu Gwangu
nimekumiss Mama angu
Asante Nkamu
Hahaha, mimi nikiona pete hata kama nilishaanza kutumia kichwa cha chini kufanya maamuzi, naahirisha hapo hapo...sitaki shari na watu hata kidogo.
wenye pete wengi wana stress wanataka faraja, sema kucheza makini sana. Ndoa zipo ICU usione watu nje wana ng'aa ukigusa tu unaenda kula .. ila mbinu za ki TISS zifanye kazi, avoid text , mawasiliano, kutumia gari yako na eneo lako, futa alama yoyote ile upitapo.. na uwe na control kwa mwanamke mbona hapa hata mwana atakuja kukulelea la junior kako
Interesting...Una heshima sana inapendeza kuna viumbe wa Adam hawana adabu hata kidogo.
Kuna sehemu kama tatu nishakaa na Mr….si wadau wakawatuma waiter waniletee Business card, Vinywaji mmoja akasema anaomba kulipa Bill…ya mwisho niliishia kulia maana sikujua Mr ananichukuliaje
Aiseee watu Wana dharauUna heshima sana inapendeza kuna viumbe wa Adam hawana adabu hata kidogo.
Kuna sehemu kama tatu nishakaa na Mr….si wadau wakawatuma waiter waniletee Business card, Vinywaji mmoja akasema anaomba kulipa Bill…ya mwisho niliishia kulia maana sikujua Mr ananichukuliaje
Furahi day
Interesting...
Mr. Akurusha ngumi?
Aiseee watu Wana dharau
Hao Mr akiwakamata ni kunyongwa tu?
Pole sana, huo ni udhalilishaji. Bahati nzuri upo na mume muelewa, mwingine kama sie ungewashwa moto wa kwenda.Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.
Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.
Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.
Enaseketeshaaaa sana , ila ndio jamii inavyo ishi na hali ya ndoa nyingi mbaya kutokana na background na foundation ya ndoa zenyewe.Sasa hayo sio mapenzi ni mateso jamani
Pole sana, huo ni udhalilishaji. Bahati nzuri upo na mume muelewa, mwingine kama sie ungewashwa moto wa kwenda.
Hongera,umepata mume mstarabu na mpole.Mume wangu ni mpole sana sehemu ya kwanza akasema nyanyuka tuondoke, tukaondoka.
Sehemu ya pili ikabidi mimi ninyanyuke nikamuita Meneja why mdada anakubali kutumwa while ananiona nipo na mtu.
Sehemu ya tatu nikaishia tu kulia maana sikujua Mume wangu anafikiria nini kichwani mwake.