Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Kwa sababu gani?Nimemkataza...!
Kwa sababu gani?Nimemkataza...!
Hapana, napenda kunyeshewa.Hivi wewe huogopi kuloa??
Kwanini. Uone hizo kazi za mwanamke kudesign nyumba. Wanaume hamjui kitu hata viatu mnaweka sebulenisina vya kioo
Mshana jrnani
Hizi kama sio mtu usiyejulikana si wanakukamaata??Zipo kama kumi angalia baka ni tofauti
Pm nakutumia hata sifichi sura.Basi nioneshee hata PM![]()
Hahahahahaha alafu ndio uingie kanisanHapana, napenda kunyeshewa.
Nguo zilowane.
Hahah.. ngoja bwana shemeji aone hii comennt abari utaipataPm nakutumia hata sifichi sura.
Ngoja nikutumie.
Hahahah ngoja vya kwangu nkavitoe sebuleni mapemaaaaKwanini. Uone hizo kazi za mwanamke kudesign nyumba. Wanaume hamjui kitu hata viatu mnaweka sebuleni
Nimemwambia hata kidole tuuu asiweke. Labda zile za kudanlod...Kwa sababu gani?
Roho mbaya ujueNimemwambia hata kidole tuuu asiweke. Labda zile za kudanlod...


acha kubania mabaharia wasisafishe macho.Kaka shemeji nimechekajeHahahah ngoja vya kwangu nkavitoe sebuleni mapemaaaa



.Nitamwambia nilikuwa natania. Akinigombeza namtishia kumwacha.Hahah.. ngoja bwana shemeji aone hii comennt abari utaipata
Roho mbaya ujueacha kubania mabaharia wasisafishe macho.
Nitamwambia nilikuwa natania. Akinigombeza namtishia kumwacha.
Kaka shemeji kwa hiyo unawachoraga tuu huko pm. Na picha zetu tunazomtumiaga mwanamke mwenzetu na wewe unazionaga?Wahuni wengi saana humu. Nawaangaliaga pm tuu.
Kila mtu alinde kilicho chake
Anipige makofi? Si ndio nitamwacha kweli.Hahahahahahahaa....
Yan unamtishia kumuacha?? Hapigi makofi??


Iko pm tayariLeo usisahauukitoka
Untumie peke yangu mimi
