Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
Wewe si nimekuona unaenda kanisani kuokoka? Umerudia dhambi?Naimiss janaView attachment 1259155
Wewe si nimekuona unaenda kanisani kuokoka? Umerudia dhambi?Naimiss janaView attachment 1259155
Wewe unaogopa utamomonyokaYeye haogopi mvua hata...! Ukimwambia akae asiende anaenda hivyo hivyo. Ameniwakilisha.


umeumbwa kwa udongo kaka shemeji.Wivu muhimuBebe alikuzia....? Dah....
Bebe shemeji aache wivu.



anatunza halafu wengine wanasafisha macho
.Mimi na mvua hapana kabisaa. Nipo na redio yangu nafatilia neno.Wewe unaogopa utamomonyokaumeumbwa kwa udongo kaka shemeji.
Vzr si tunaangalia wote.... mara moja moja bwana shemejiWivu muhimuanatunza halafu wengine wanasafisha macho
.
Kasema NO anatunza, na atasafisha macho yeye peke yake.
Tabia n kama ngoziWewe si nimekuona unaenda kanisani kuokoka? Umerudia dhambi?
Wanaume bhanaMimi na mvua hapana kabisaa. Nipo na redio yangu nafatilia neno.




Good morning family.... morning rookooo
cute b mama p
Atoto shem darling
Mshana Jr aka mr liquid
mkwepu jr mr likes
Sakayo mama wa imani leo utupe neno
sanchez magoli hongera kwa kutulindia nchi imetulia
[USER=552140]Karma miss you..
Heaven Sent picha mama bado tunaisubiri....
Watu8 another mr like....
Shunie
Eli79 my bro heshima kwako.
Depay
Transcend ushatoka moshi??
sweet manka ile tungi ya jana unibakshie basi
Hawachi miss yo
Bint sayuni sant anne Bwana asifiwe
Zurri
Dada shemeji Hannah miss you
Class mate Youngblood unaendeleaje....
[USER=401770]Denvers
mkuu sumbai, natumai wale wa ibada mlienda na kutuombea. Good morning!Mbona Mama P yeye haweki? Wanaume wasafishe macho?Vzr si tunaangalia wote.... mara moja moja bwana shemeji
Kweli, anaokoka mchana usiku anarudi kuwanga.Tabia n kama ngozi
Kumekucha na makucha yakeGood morning family.... morning rookooo
cute b mama p
Atoto shem darling
Mshana Jr aka mr liquid
mkwepu jr mr likes
Sakayo mama wa imani leo utupe neno
sanchez magoli hongera kwa kutulindia nchi imetulia
[USER=552140]Karma miss you..
Heaven Sent picha mama bado tunaisubiri....
Watu8 another mr like....
Shunie
Eli79 my bro heshima kwako.
Depay
Transcend ushatoka moshi??
sweet manka ile tungi ya jana unibakshie basi
Hawachi miss yo
Bint sayuni sant anne Bwana asifiwe
Zurri
Dada shemeji Hannah miss you
Class mate Youngblood unaendeleaje....
[USER=401770]Denvers
Amen, hallelujah.Leo ni mwendo wa nenoView attachment 1259162
ukitoka 
Nimeenda kaka
Ila nishavua gauni langu la kitenge, mesahau kujifotoa
Basi nioneshee hata PM 😔😔Babe kaniambia nilizopost zimetosha anaona wivu.
Mimi nipo tuu nasambaza maupendo ya likes.
Ww mdada Hawachi natamani nione tuu pic yakoKumekucha na makucha yake