Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

BLACK AMERICA FAKE
255756071973_status_1dbb30e5e6c14691880c7327c13e201b~2.jpg
 
Finalist yr umeanza rasmi leo, safari ya miaka 4 ya bachelor degree inaelekea ukingoni. Eeeh Jah nisaidie nihitimishe salamaaa.

Pitia hapa kabla hujaenda masters
Yupo mwanamke mmoja anayejitambulisha kwa jina moja la Nekesa ambaye amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana akilalamika kwamba ana umri wa miaka 40 na bado hajapata mume wala mtoto.

Kwa mujibu wa video zake kwenye Tiktok, hafurahishwi na upweke unaomuandama kwa muda mrefu na kubainisha kuwa maisha yake hayaendi ipasavyo na anaelekea kukata tamaa.

Katika moja ya video hizo, Nekesa anaonekana akiwa amezama kwenye lindi la mawazo na kudai hana watoto ila anatumai kuwa ataolewa siku moja.

Nekesa anasema anamuomba mno Mwenyezi Mungu siku moja amjaalie mwanaume mmoja ambaye atampa huba lake lote.

“Miaka 40 sasa, sina watoto, mume au kuwa kwenye uhusiano wowote. Mungu wangu nisaidie,” Nekesa anaomba akionesha masikitiko yake.

Maelezo ya Nekesa yamewagusa wengi huku wakionesha kumpa matumaini kwamba siku moja atapata mume atakayempenda na kumpatia watoto.
 
Charlie Chplin told the audience a wonderful joke and all the people started laughing...

Charlie repeated the same joke and only few people laughed..????

He again repeated the same joke but this time no one laughed...??????

Then he told these beautiful lines...;

" when you cannot laugh on the same joke again and again...
then why do you cry again and again on the same worry"

So enjoy your every moment of life..!!
Life is beautiful??????
Today is Charlie Chaplin's 130th birthday - a good day to recollect his 3 heart-touching statements:-

(1) Nothing is permanent in this world, not even our troubles.

(2) I like walking in the rain, because nobody can see my tears.

(3) The most wasted day in life is the day in which we have not laughed.

Keep smiling and tag this message to everyone whom you want to see smiling...
 
Back
Top Bottom