Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

" Enyi wake watiini Waume zenu kama kumtii Bwana Mungu. Kwa maana Mume ni kichwa Cha Mkewe......"

"Enyi Waume wapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda Kanisa....."

"Enyi watoto watiini Wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.......Waheshimu Baba yako na Mama yako, amri hii ndiyo ya kwanza yenye ahadi"

"Nanyi akina Baba, msiwachokoze watoto wenu, Bali waleeni katika adabu na Maonyo ya Bwana(Mungu)"

Kila mtu achukue kinachomuhusu.

Hello Sunday 🤗
 
Back
Top Bottom