Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,752
- 109,846
Aaah wapi
Nimeweka ila kwa kuwa mmelala sidhani kama mtaikuta
Nimeweka ila kwa kuwa mmelala sidhani kama mtaikuta
Mkuu kilozilozi inawezekana. Kuna habari mbaya hapa kwamba jana Sakayo alikutumia ukiwa gizani baada ya zile spirits[emoji3][emoji3]Dah cha kusimamia hewani... Binadamu hawezi hii style
Morning Kaka shemeji, I mith yu too.Good morning family.... morning rookooo
cute b mama p[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Atoto shem darling
Mshana Jr aka mr liquid
mkwepu jr mr likes
Sakayo mama wa imani leo utupe neno
sanchez magoli hongera kwa kutulindia nchi imetulia
[USER=552140]Karma miss you..[emoji173]
Heaven Sent picha mama bado tunaisubiri....
Watu8 another mr like....
Shunie
Eli79 my bro heshima kwako.
Depay [emoji179]
Transcend ushatoka moshi??
sweet manka ile tungi ya jana unibakshie basi
Hawachi miss yo
Bint sayuni sant anne Bwana asifiwe
Zurri
Dada shemeji Hannah miss you
Class mate Youngblood unaendeleaje....
[USER=401770]Denvers
Asante[emoji178]View attachment 1258891
I took this snap on my birthday two month ago at Kaya Pallazo Hotel & Resort .. Hii hotel ni kiboko [emoji7][emoji7]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Beberu mwitu Oneni jamani Mwenzetu anatembelewa hadi chuoni na vitu vizuri, wakina sisi tutaendelea kutembelewa na mikosi mpaka lini?
maisha haya sisi wengine tulikosea wapi?
Morning Kaka shemeji, I mith yu too.
Haujaenda kusali Leo?
Nimemiss kukuona jamani 😔Asante[emoji178]
Dah cha kusimamia hewani... Binadamu hawezi hii style
Oohh huyo sijamkuta sasa hivi panaitwa kwa Mgawe au Kan'tangaze
Mama P yeye kaendaje.Mvua.... imezuia. Ila naifatilia mubashara hapa kwenye radio
Babe kaniambia nilizopost zimetosha anaona wivu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Nimemiss kukuona jamani [emoji17]
Yeye haogopi mvua hata...! Ukimwambia akae asiende anaenda hivyo hivyo. Ameniwakilisha.Mama P yeye kaendaje.
Bebe alikuzia....? Dah....Babe kaniambia nilizopost zimetosha anaona wivu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Mimi nipo tuu nasambaza maupendo ya likes.
Wewe ni ibada kivipi???Ibada ni mimi...
[emoji178][emoji178][emoji178][emoji178]