Hii ndio fail kubwa ya JF.. mtu kuweza ku edit comments ya mtu. Mod wamelala ni wakufutwa kazi walale njaaa... ndio akili ziwakae sawa..
Maxence Melo angalieni hii feature ya editi za comment za mtu, namna ya kuboresha, sio kila mtu anaweza enda kwenye og comment na bahati mbaya ukute imefutwa alafu mtu ka edit vibaya