Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,305
Lol basi sawa babu wasalimie sana Vijana wako!Huku nimeambiwa wanachimba Dhahabu, nilikuja kuwatembelea Vijana wangu tu miye ๐คช๐๐๐๐
Lol basi sawa babu wasalimie sana Vijana wako!Huku nimeambiwa wanachimba Dhahabu, nilikuja kuwatembelea Vijana wangu tu miye ๐คช๐๐๐๐
Hahaha........naona inapokea sana Wageni Kila siku, kwahiyo wanabadirishana kila sikuChunya ni kiboko
Shkamoo Daktari
Naomba Oral za kulamba





kumbe nawe mgonjwa Wa oral, njoo nkupeWanabadilishana madini???Hahaha........naona inapokea sana Wageni Kila siku, kwahiyo wanabadirishana kila siku
Sawa Mjukuu, na Ile Posa iliyoletwa kwaajili yako tuipokee? Naona Ng'ombe 200 zimeletwa hapa kwaajili yako, nadhani rangi yako imekubeba Mjukuu ๐คชLol basi sawa babu wasalimie sana Vijana wako!
๐๐๐๐Uso kwa uso
Babu naomba unijie na cheni ya dhahabu na mimi nioshe hapa mjiniHuku nimeambiwa wanachimba Dhahabu, nilikuja kuwatembelea Vijana wangu tu miye ๐คช๐๐๐๐
Napeeendakumbe nawe mgonjwa Wa oral, njoo nkupe
Santo sana babuu Ipokee kwa mikono miwili kabisa ni ya mjukuu wako mie hapa babuu wamesema wanajipanga vizuri watakuja muwatambue rasmi!Sawa Mjukuu, na Ile Posa iliyoletwa kwaajili yako tuipokee? Naona Ng'ombe 200 zimeletwa hapa kwaajili yako, nadhani rangi yako imekubeba Mjukuu ๐คช
Ngoja niwaombe vijana wangu nikuletee gramu 5 uzipeleke Kwa Sonara.Babu naomba unijie na cheni ya dhahabu na mimi nioshe hapa mjini
Vijana wengi wanakuja huku Kila siku kwaajili ya Kuchimba, kwahiyo wanabadirishana tu WanawakeWanabadilishana madini???
Babu kwani kuna sehemu nyingine ya kuvalia cheni zaidi ya shingoniNgoja niwaombe vijana wangu nikuletee gramu 5 uzipeleke Kwa Sonara.
Hujasema ni cheni ya wapi lakini Mjukuu ๐คช๐๐๐๐
Heee kumbe!!๐๐๐๐๐ Sasa kama babu yao ulieishi kwingi na kuona mengi unawashaurije kuhusu kuepukana na hilo janga babuu au unawawekea Zana maeneo ya kazi??๐ค๐คVijana wengi wanakuja huku Kila siku kwaajili ya Kuchimba, kwahiyo wanabadirishana tu Wanawake
Sawa Mjukuu, kweli kuzaa raha. Hapo mkiolewa wote najua sikosi Ng'ombe 1500 Baby yenu ๐คชSanto sana babuu Ipokee kwa mikono miwili kabisa ni ya mjukuu wako mie hapa babuu wamesema wanajipanga vizuri watakuja muwatambue rasmi!
Babu na uzoefu wakee! Mjukuu wako Naomba unielekeze hizo aina za cheni babu!!Ngoja niwaombe vijana wangu nikuletee gramu 5 uzipeleke Kwa Sonara.
Hujasema ni cheni ya wapi lakini Mjukuu ๐คช๐๐๐๐
Kabisa babu nataka niolewe mapema nizae mapema ibakie kusaidiwa kazi na vitukuu vyako tu babu!Sawa Mjukuu, kweli kuzaa raha. Hapo mkiolewa wote najua sikosi Ng'ombe 1500 Baby yenu ๐คช
Hahahaha...........................huwa nawawekea Ile nyimbo ya Starehe ya Ferouzi Ft Prof JayHeee kumbe!!๐๐๐๐๐ Sasa kama babu yao ulieishi kwingi na kuona mengi unawashaurije kuhusu kuepukana na hilo janga babuu au unawawekea Zana maeneo ya kazi??๐ค๐ค
Utafanya vizuri Mjukuu, Babu yako Nina hamu ya kuona Vitukuu vyangu mapema ujue ๐Kabisa babu nataka niolewe mapema nizae mapema ibakie kusaidiwa kazi na vitukuu vyako tu babu!
Hahahaha................najua basi, nadhani Yule Kaka yako Kwa Mjomba ako alishika hii simu alikuwa ananirekebishia Kalenda itakuwa alitype hayo maandishi ๐คช๐๐๐Babu na uzoefu wakeeeee๐๐๐๐คธ๐คธ๐คธ๐คธ๐๐๐! Mjukuu wako Naomba unielekeze hizo aina za cheni babu!!