Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,171
Mko juuV.I.P B
Mwendokasi zetu za mbezi hamna hata nafasi za kusogeza mguu
Mko juuV.I.P B
Hiyo VIPHilo la kwenda mbagara![]()
Mko juu
Mwendokasi zetu za mbezi hamna hata nafasi za kusogeza mguu
Poleni sana wana mbeziMko juu
Mwendokasi zetu za mbezi hamna hata nafasi za kusogeza mguu
Hata mwenyew ningeingia humo nikakuta level seat na watu wametulia hivyo ningejua labda gari bovu watu wameamua tu kujipumzisha kwa mudaHiyo VIP
Nimestuka gari tupu namna hiyo!Naweza dhani nimekosea.
Utakuwa unaenda opposite direction wewe Mkuu.
Mimi ningeshuka.Hata mwenyew ningeingia humo nikakuta level seat na watu wametulia hivyo ningejua labda gari bovu watu wameamua tu kujipumzisha kwa muda
Asante, tushazoea wenyewePoleni sana wana mbezi
Eeh itabidi niwe nacheki kwa makini, nikiona pisi portable hips don lie najua tu niwewe nitakupa hi.Si ajabu huwa tunapigana vichwa mara nyingi tu kwenye foleni zetu za kina komando mashimo.
Kwa kweli nikichoka huwa sipangi foleni.
Najipenyeza foleni ya kusimama pale mbele napita iwe isiwe.
Hips ya mchongo 😂Asante, tushazoea wenyewe
Eeh itabidi niwe nacheki kwa makini, nikiona pisi portable hips don lie najua tu niwewe nitakupa hi.
We mkorofi, unafanya ubabe
Woyooo nipo hapa sipepeshi hata ukope😘Wewe teinnnaaaaaaa sema kingine asubuhi ushabarikiwaaaa.. Haya usitoke hapo kipenzi 😘
Idumu milele na mileleeeee..💃💃😂😂😂😂😂😂😂 jamii forum idumuuuuuu...jf raha aiseeeee,🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi na wewe tuseme Aimeeeeenn😂😂Idumu milele na mileleeeee..💃💃
Aaiiimmmmmmeeeeeeeennnnnn!!Mimi na wewe tuseme Aimeeeeenn😂😂
Boss ledi wetu unakula bata tuRumaiya Rumee Rumy sina mpya kipenzi niliweka hii 😘😘
Vimbaombao wapigwa pasi leo siyo siku yaoMtu na nusu❤️😘😘😘...Mungu fundi nyieeee...nimebarikiwa ahsante Sana mamaaa🤗
Its ma pleasure dear 😍!Mtu na nusu❤️😘😘😘...Mungu fundi nyieeee...nimebarikiwa ahsante Sana mamaaa🤗