Selfika na JF: Snap it. Show it

Weeeee hapana mzigo tulionao ni kwa wanaotoka kule bila kujua kusoma au kuandika! Sasa kama kwenye Kiswazi as medium of instructions imeshindikana huku kwa lugha za wenyenazo si ndio balaa kabisa!!
Warudishe utaratibu ule ule aisee !
 
Weeeee hapana mzigo tulionao ni kwa wanaotoka kule bila kujua kusoma au kuandika! Sasa kama kwenye Kiswazi as medium of instructions imeshindikana huku kwa lugha za wenyenazo si ndio balaa kabisa!!
Warudishe utaratibu ule ule aisee !
Mimi naona suluhisho siyo kubadilishana kusimamia

Suluhisho ni kubadili mitihani.
Ile mitihani ya primary kwa kweli inashangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…