Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Gauni la 3 naliongeza kwenye ile listNikukute wapi....??
View attachment 2385660
Gauni la 3 naliongeza kwenye ile listNikukute wapi....??
View attachment 2385660
Imagine yale mapochopocho ya sophy27 mjomba!🤔🤔🤔 Afu Sweetmadame hana mambo mengi kabisaaa jamaneeee😔!Mad Max ni fungu la kutoa bokoo tu
Niwe na chakula kwanza,nipate zile dollari nyinginyingiii,,niangalie Mpira mkali wa Liver huku nashushia mziki mzuriMhhh,mbona maisha yatakua magumu 😂
Mi si nipo??? Alafu siku hizi tunafuata PGO mpaka mwisho 😁😁
Tayari BwanaBado hujaachika![]()
Nilikuwa na mpango wa kukutumia hii inayoonyesha lote nikuulize 😄😄Gauni la 3 naliongeza kwenye ile list
Huwa anajibu na anachat vizuri tuHuwa anajibu
Nahisi ni Mod kama sio Paw
Combination haijakaa vizuri Boss. 😂 Italeta msongo wa Mawazo.Niwe na chakula kwanza,nipate zile dollari nyinginyingiii,,niangalie Mpira mkali wa Liver huku nashushia mziki mzuri
Mungu anipe nini tena?
Weuweeee mdhunguuu😍😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Nilikuwa na mpango wa kukutumia hii inayoonyesha lote nikuulize 😄😄View attachment 2385981
Stress zinatoka wapi na mziki upo?Combination haijakaa vizuri Boss. 😂 Italeta msongo wa Mawazo.
Hasa hii ya uongo na ya kulitaja Jina la Bwana
Mhhh, Kweli kila mtu ana kitu chake cha kumpa amani 😂 😂 😂 😂 😂 , Halafu mbona unataja hela ndefu ndefu tu 😎Stress zinatoka wapi na mziki upo?
Yaani kwanza kukiwa na chakula na hela tu hapo nanenepa mbona.
Nikamate hata Dola elfu15.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi siji huko, labda utoke hapo nje kwenye mchicha mchicha pale 😂 😂 😂 😂
Na pesa ni jawabu la Mambo yote.Mhhh, Kweli kila mtu ana kitu chake cha kumpa amani 😂 😂 😂 😂 😂 , Halafu mbona unataja hela ndefu ndefu tu 😎
Watu weuuuuweeeeeehhhhhhh 💃💃💃💃🤸🤸! Mulemuleeeee!!😘Alcohol and football
Umeona eh, hapo hata kama kikinuka mi naweza jidai hilo shamba la mchicha ni langu na nipo kazini kumwagilia 😂 😂 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haya njoo...ntatoka 😁
Tunakula kinachopatikana balance diet utajua mwenyewee!! Hapa unachota chakula na sahani yakoo hakuna kuremba!
Baba Yolly Imekosekana free intanet tu
Karibuni tuuone mchana
Asanteeee ☺️☺️☺️Weuweeee mdhunguuu😍😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hili sasa naliweka namba mbili
Lile jeusi lipo palepale namba Moja.
Umependeza sana.
Nakwambia!! Tumbo limejaa balaa hapaa😑Wali ndondo