Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

TANESCO kama kuna kosa tumewakosea watu wa NJIRO-ARUSHA mtusamehe 😂😂

Ofisini mmekata saa 2 asbh, nimetokapo saa 12 kasoro flani bado haujarudi..

Nimefika home nikaandaa msosi, sijala nikamaliza nako mmekata… hapa nakombelezea moto kwenye Laptop 🥹

Sio vizuri jamani,, basi wakati mnajivuta vuta kurudisha umeme njoeni mselfike

Wee admn njoo uselfike TANESCO 😎
Una hakika sio Luku sista? Ni PM meter number nikujaze wa buku 2.
 
TANESCO kama kuna kosa tumewakosea watu wa NJIRO-ARUSHA mtusamehe 😂😂

Ofisini mmekata saa 2 asbh, nimetokapo saa 12 kasoro flani bado haujarudi..

Nimefika home nikaandaa msosi, sijala nikamaliza nako mmekata… hapa nakombelezea moto kwenye Laptop 🥹

Sio vizuri jamani,, basi wakati mnajivuta vuta kurudisha umeme njoeni mselfike

Wee admn njoo uselfike TANESCO 😎
🤣🤣
 
TANESCO kama kuna kosa tumewakosea watu wa NJIRO-ARUSHA mtusamehe 😂😂

Ofisini mmekata saa 2 asbh, nimetokapo saa 12 kasoro flani bado haujarudi..

Nimefika home nikaandaa msosi, sijala nikamaliza nako mmekata… hapa nakombelezea moto kwenye Laptop 🥹

Sio vizuri jamani,, basi wakati mnajivuta vuta kurudisha umeme njoeni mselfike

Wee admn njoo uselfike TANESCO 😎
Naunga mkono hoja.
Tanesco inachofanya Arusha ni upumbavu wa kiwango cha Juu.
 
National Anthem
20221012_222515.jpg
 
Naunga mkono hoja.
Tanesco inachofanya Arusha ni upumbavu wa kiwango cha Juu.
J3 asbh wamekata ofisini kutwa nzima,,nikarudi home wakakata saa 1 ukarudi saa 4 uck

J4 jana,, ofisini hawajakata .. nikarudi kitaa wakakata kama masaa mawili , na ninasikia usiku walikata zaidi ya mara 2.. kuna muda mm saa 9 nimeamka kususu hamna umeme.

Leo ndio kama kawaida, ofisini kutwa nzima,, kitaani masaa manne


Tumezoea🤣
 
J3 asbh wamekata ofisini kutwa nzima,,nikarudi home wakakata saa 1 ukarudi saa 4 uck

J4 jana,, ofisini hawajakata .. nikarudi kitaa wakakata kama masaa mawili , na ninasikia usiku walikata zaidi ya mara 2.. kuna muda mm saa 9 nimeamka kususu hamna umeme.

Leo ndio kama kawaida, ofisini kutwa nzima,, kitaani masaa manne


Tumezoea🤣
Poleni..
 
Back
Top Bottom