Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Waoshe wakate vipande upendavyo waweke viungo chumv,ndimu au unaweza tumia venegar, tangawiz pia ukipenda waache dakika kadhaa viungo viingie ndani kisha kaanga ila km utakata vipande vikubwa vzuri zaidi uwachane Kwa juu kidogo kuruhus viungo kuingia ndani
Nimeweka tangawizi na vinegar.

Kumbe nimepita mulemule.

Asante Auntie...Bado kukaanga sasa.
 
Usijali Mjukuu..................ningependa nikutumie hiki ila bahati mbaya kina harufu ya Kiko nayovutaga 🙊 ukiweza nenda Bookshop ukikipata nikutumie Salio ununue
Kama kina kiko hapana babu, nisije kulewa bure. Hivi kiko inalewesha babu?😅

Itabidi nikacheki Bookshop, matumai nitapata huko
 
National Anthem
20221012_194028.jpg
 
Waoshe wakate vipande upendavyo waweke viungo chumv,ndimu au unaweza tumia venegar, tangawiz pia ukipenda waache dakika kadhaa viungo viingie ndani kisha kaanga ila km utakata vipande vikubwa vzuri zaidi uwachane Kwa juu kidogo kuruhus viungo kuingia ndani
Mhhhh labda mimi ni mshamba but kumfanyia samaki marination sio idea nzuri sana sababu ya how soft and tender nyama yake ilivo
 
Back
Top Bottom