Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ningekuwa na babe aisee ,ningemleta kwako ajifunze ๐๐Nataka mjifunze kwangu jinsi ya kupenda ๐๐
Ningekuwa na babe aisee ,ningemleta kwako ajifunze ๐๐Nataka mjifunze kwangu jinsi ya kupenda ๐๐
๐๐๐๐ msalimie shemeji au ww ni single forever au bora uzima tuTumekoma tusamehe tumekosa๐๐๐
Wanaume wote hao unakuaje single ww binti unachagua sana ehhNingekuwa na babe aisee ,ningemleta kwako ajifunze ๐๐
Tulia ww kijana hujui maana ya mapenzi najua kupenda najua kujali najua kuyaficha madhaifu ya yolly yolly ๐ wangu najua kumpa tabasamu hakiwa hana huzuni na mapenzi pia najua ndyo maana yolly yolly ๐๐ kakolea kwanguMapema mno kijana๐คฃ
Hizi mbwembwe za mwanzoni sizikufanye tukakusoma kwa Millard ayo โkijana ajinyonga mara baada ya kutoambiwa ailavyuuuu na mpenzi wakeโ
Bora uzima tu๐๐๐nakula nashiba nalala๐๐๐๐ msalimie shemeji au ww ni single forever au bora uzima tu
Sina bahati na mahusianoWanaume wote hao unakuaje single ww binti unachagua sana ehh
Raha ya kula ulishwe sasa upo single unakula ili iweje shemeji ๐๐๐ nenda kwa Poker yupo singleBora uzima tu๐๐๐nakula nashiba nalala
Nikija nitakupa rafika angu muwe wote sitak Uwe singleSina bahati na mahusiano
Nawaachia nyie mnaoweza .
Sichagui hata , ila sionekani ๐๐
Mambo hayo ๐ฅณ๐ฅณNikija nitakupa rafika angu muwe wote sitak Uwe single
Nishachoka kuwa single ๐๐Nikija nitakupa rafika angu muwe wote sitak Uwe single
Usilalamike sana rafiki angu nipo kwa ajili yako nataka upate furaha kuzid furaha ninayopata kwa yolly yolly ๐๐ kupendana raha nyie hasa wote mkiendanaNishachoka kuwa single ๐๐
Nifanyie mpango na mie nideke
Pesa sina , na mpenzi sina aisee sio fair ๐
Huyo ndo rafiki yangu ๐ฅฐ ,Usilalamike sana rafiki angu nipo kwa ajili yako nataka upate furaha kuzid furaha ninayopata kwa yolly yolly ๐๐ kupendana raha nyie hasa wote mkiendana
Bora uende ukatubu
Hahahaha.......Uzee unatisha Mjukuu, hapa nimeanza kutubu Kwa unyenyekevu wote ๐คBora uende ukatubu
Ameen babu yetu kipenz
๐๐๐Tulia ww kijana hujui maana ya mapenzi najua kupenda najua kujali najua kuyaficha madhaifu ya yolly yolly ๐ wangu najua kumpa tabasamu hakiwa hana huzuni na mapenzi pia najua ndyo maana yolly yolly ๐๐ kakolea kwangu
Hongera Babu ila kamkono ka gentleman bibi yetu alijua kuchaguaHahahaha.......Uzee unatisha Mjukuu, hapa nimeanza kutubu Kwa unyenyekevu wote ๐ค
Ubarikiwe sana
Yupo single huyo kijana afu hana mambo mengi๐๐๐
Poker ya kweli haya nijiweke hapo๐